Kwa kipindi cha wiki moja sasa, baada ya kushanga jinsi airtime inavyolika, Niliamua kuweka fedha kwenye akaunti yangu ya air time na kutoitumia kabisa zaidi ya ku-check salio tu. Nilichogundua ni kua jamaa wananikata shs 68/= kila siku!!!! Najiuliza sipati jibu. Nimeona niliweke humu jamvini kama kuna mtu amekutana na experience ya aina hii kama sijaliwasilisha katika mamlaka husika.