Enzi na Enzi
JF-Expert Member
- May 29, 2020
- 888
- 821
WanaJF mnaotumia mtandao wa simu wa kampuni ya Vodacom kuweni makini kufuatilia makato ya fedha kwenye vifurushi mnavyojiunga.
Kuna kukatwa pesa bila mteja kujua hasa unapokuwa unajiunga ukiwa na fedha kwenye account yako.
Jioni hii nimepigwa, nanilipowafatilia wananipa majibu ambayo wao wenyewe wanashindwa kuyathibitisha na baadae kupotea kabisa bila kunijibu chochote.
Mwisho, nawaomba uongozi wa Vodacom fatilieni hili, kama siyo kampuni inafanya hivyo basi kunawafanyakazi wanafanya mchezo huu mbaya ambao kiukweli umeniuzi sana.
Kuna kukatwa pesa bila mteja kujua hasa unapokuwa unajiunga ukiwa na fedha kwenye account yako.
Jioni hii nimepigwa, nanilipowafatilia wananipa majibu ambayo wao wenyewe wanashindwa kuyathibitisha na baadae kupotea kabisa bila kunijibu chochote.
Mwisho, nawaomba uongozi wa Vodacom fatilieni hili, kama siyo kampuni inafanya hivyo basi kunawafanyakazi wanafanya mchezo huu mbaya ambao kiukweli umeniuzi sana.