johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,816
- 141,716
Ukiwaangalia kwa makini wanaccm wanaolumbana sasa kwa kejeli na kutafuta kiki ni wale wale waliokuwa wanamtusi na kumkejeli mzee Lowassa.
Hawa wazee wawili na vijana wao akina Nape, Kibajaji, January, Musukuma na yule mzanzibar wa uvccm walimkejeli na kumtusi sana mzee Lowassa sema tu Lowassa ana upako wa nabii TB Joshua.
Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha ndio haya yanayowakuta hawa wenzetu.......Bashiru hata upige mkwara vipi kwa hawa jamaa unatwanga maji kwenye kinu!
Hawa wazee wawili na vijana wao akina Nape, Kibajaji, January, Musukuma na yule mzanzibar wa uvccm walimkejeli na kumtusi sana mzee Lowassa sema tu Lowassa ana upako wa nabii TB Joshua.
Nyerere alisema ukila nyama ya mtu huwezi kuacha ndio haya yanayowakuta hawa wenzetu.......Bashiru hata upige mkwara vipi kwa hawa jamaa unatwanga maji kwenye kinu!