Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Watu wanne wanaotuhumiwa kuwa ni majambazi wameuawa na wananchi katika kijiji cha Kinyasi wilayani kondoa mkoani Dodoma baada ya kuvamia kituo cha mafuta katika kijiji hicho na kupora zaidi ya shilingi milioni kumi.
Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi mwandamizi wa polisi Gilles Muroto amesema kufuatia tukio hilo jeshi la polisi limeendesha msako mkali ambapo mpaka sasa gari aina ya noah T 607 DHC iliyokuwa inatumika kufanya uhalifu huo tayari imekamatwa na msako wa kuwakamata waliokimbia unaendelea.
Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi mwandamizi wa polisi Gilles Muroto amesema kufuatia tukio hilo jeshi la polisi limeendesha msako mkali ambapo mpaka sasa gari aina ya noah T 607 DHC iliyokuwa inatumika kufanya uhalifu huo tayari imekamatwa na msako wa kuwakamata waliokimbia unaendelea.