Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nadhani makosa yaliyotunguliwa na Biswalo Mganga dhidi ya watu mbalimbali kinyume Cha haki na bila upelelezi kukamilika kwa miaka kadhaa yanatia kichefuchefu na kujiuliza amepandishwaje kuwa Jaji?
Mfano mdogo, watuhumiwa wanadaiwa kukutwa na nyara za serikali( ndege aina ya Tausi) na wanawekwa mahabusu kwa miaka kadhaa uchunguzi ukiendelea, wanachunguza Kama hao kweli ni Tausi au waliwabambikia tu kesi? Je huyo Tausi kama exbit amepotea, ameuzwa, amefariki Hadi tushindwe kumfikisha mahakamani kama kosa lipo wazi?
Endapo mtu alisingiziwa kukutwa na Tausi ambao wanaishi Ikulu, je aliyefanya huu unyama wakuchukua tausi nakupeleka nyumbani kwa mtuhumiwa ni Nani? Kwa Sasa tausi huyo yupo wapi maana mahakama imesema waliokuwa wanMmiliki hawana hatia? Je, Kama kweli walikuwa wanammiliki na Awana hatia, je kufuga Tausi Ni halali?
Mfano mdogo, watuhumiwa wanadaiwa kukutwa na nyara za serikali( ndege aina ya Tausi) na wanawekwa mahabusu kwa miaka kadhaa uchunguzi ukiendelea, wanachunguza Kama hao kweli ni Tausi au waliwabambikia tu kesi? Je huyo Tausi kama exbit amepotea, ameuzwa, amefariki Hadi tushindwe kumfikisha mahakamani kama kosa lipo wazi?
Endapo mtu alisingiziwa kukutwa na Tausi ambao wanaishi Ikulu, je aliyefanya huu unyama wakuchukua tausi nakupeleka nyumbani kwa mtuhumiwa ni Nani? Kwa Sasa tausi huyo yupo wapi maana mahakama imesema waliokuwa wanMmiliki hawana hatia? Je, Kama kweli walikuwa wanammiliki na Awana hatia, je kufuga Tausi Ni halali?