Hawa ni watuhumiwa. Uliyeanzisha thread hii umeandika as if hawa watu wameshathibitishwa kuwa ni wauwaji. Hiyo siyo sahihi na inafanya jukwaa letu lionekana kama kijiwe cha wahuni.
Vilevile polisi wameshikilia watu saba (7) mbona majini yaliyotajwa ni matatu tu?
Polisi mkoani Arusha imewatia mbaroni wauaji watatu waliomuua kwa kumchinja mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Usa River wilayani Arumeru, Msafiri Mbwambo na tayari wamefikishwa mahakamani.
Kamishna wa polisi nchini, Isaya Mngulu amewataja:
1. DAUD LEZILE MKUBA
2. MATHIAS NATHAN KURWA
3. SAID PHLORIN MKWELA
Polisi mkoani Arusha imewatia mbaroni wauaji watatu waliomuua kwa kumchinja mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Usa River wilayani Arumeru, Msafiri Mbwambo na tayari wamefikishwa mahakamani.
Kamishna wa polisi nchini, Isaya Mngulu amewataja:
1. DAUD LEZILE MKUBA
2. MATHIAS NATHAN KURWA
3. SAID PHLORIN MKWELA
Hawaja sema wametumwa na yule mzee mwenye asili ya hifadhi ya Gombe?
Kuna gazeti limereport kati ya hao m1 ni chadema na wawili ni ccm,mzee wa arusha ebu tufahamishe zaidi.
Pia mwandishi alipaswa kusema watuhumiwa wa mauaji ya mwentekiti wa cdm usariver majina yao haya hapa, lakini ukisema watuhumiwa hawa hapa means tayari there is no reasonable doubt kuwa ndio hao na umeshawahukumu! Pamoja na ubovu wake tuheshimu mahakama zetu pia watuhumiwa wote ni innocent hadi mahakama iweze ku prove otherwise!