Puppy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2011
- 2,995
- 2,494
Jana Mitaa ya Leganga ilijaa watu wenye mchanganyiko wa hasira na furaha mida ya Jioni baada ya mtuhumiwa wa mauaji kuletwa Leganga.
Wananchi waliomba wapewe japo dakika mbili nae wapoze hasira zao, ilikuwa ni purukushani sana kiasi ilikasoro kidogo sana gari alimowekwa kupinduliwa na wananchi.
Aliletwa ili nyumba yake ikaguliwe. Alikutwa na Silaha tofauti tofauti ikiwamo Bunduki, Panga na mavazi ya kuvaa kuficha uso.
Story Iko Hivi:
Jamaa baada ya tukio la mauaji walikimbia mmoja akakamatiwa Dodoma. Na inasemekana ana history ya kuua. Na vifaa vilivokutwa kwake vimewahi kutumika kwenye uharibifu mwingine.
Inadaiwa gharama ya kufanya tukio hilo ilikuwa ni 2M (Million mbili za kitanzania).
Swala hili linafanyika kisiri sana na watuhumiwa wengine wako ndani kimya kimya.
Wananchi waliomba wapewe japo dakika mbili nae wapoze hasira zao, ilikuwa ni purukushani sana kiasi ilikasoro kidogo sana gari alimowekwa kupinduliwa na wananchi.
Aliletwa ili nyumba yake ikaguliwe. Alikutwa na Silaha tofauti tofauti ikiwamo Bunduki, Panga na mavazi ya kuvaa kuficha uso.
Story Iko Hivi:
Jamaa baada ya tukio la mauaji walikimbia mmoja akakamatiwa Dodoma. Na inasemekana ana history ya kuua. Na vifaa vilivokutwa kwake vimewahi kutumika kwenye uharibifu mwingine.
Inadaiwa gharama ya kufanya tukio hilo ilikuwa ni 2M (Million mbili za kitanzania).
Swala hili linafanyika kisiri sana na watuhumiwa wengine wako ndani kimya kimya.