MTV MBONGO
JF-Expert Member
- Feb 18, 2016
- 1,262
- 1,220
Swali la maana Sana.Sababu ya kufanya hayo mauaji ni nini?
Swali la maana Sana.Sababu ya kufanya hayo mauaji ni nini?
Hivi Biblia bei gani?Hii, ni duka la nini yani, la vifaa vya biblia na rozary??!! Shiit
Nimerudia kusoma mara tatu ndio nikaelewaMbona taarifa za awali zilisema mauaji yalitokea kanisani, leo inaandikwa mtaani, lipi la kweli na lipi siyo sahihi