Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,836
- 7,492
watuhumiwa escrow wajiuzulu wenyewe wasingoje kutimuliwa na raisi-mama Maria Nyere-Nipashe leo jumamosi
"Tumeshuhudia mambo yaliyotokea bungeni wananchi wameona ,Nilitegemea waliotajwa wangejitoa wenyewe katika nafasi zao badala ya kusubiria Raisi"alisema Mama Maria Nyerere mjane wa baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere.
"Tumeshuhudia mambo yaliyotokea bungeni wananchi wameona ,Nilitegemea waliotajwa wangejitoa wenyewe katika nafasi zao badala ya kusubiria Raisi"alisema Mama Maria Nyerere mjane wa baba wa taifa hayati Julius Kambarage Nyerere.