Maneno Meier
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 2,469
- 1,697
Tuonyeshe maiti za hao watu 15 waliofariki dunia kwa ugonjwa usio fahamika!
Dsm ipo mikoani sidhaniTanzania inatakiwa kuwepo na kikosi maalumu kwa ajili ya magonjwa ya milipuko na ikiwezekana wanakua na chopa yao kabisaa ya emergency bila kutegemea usafiri wa magari hapo tutakua tumeweza maana hii ya watu kutoa taarifa mpaka kwenye kikao cha madiwani na ishu ya kuzima Moto Mungu atusaidie kwa kweli...
Dsm ipo nini Mkuu,sijakuelewa Kama chopa inaweza kuwepo mji wowote na wataamu wanapiga kazi zao ikitokea tatizo lolote wanatoka haraka ili kwenda kukagua matatizo yaliyopo na si kutegemea vikao vya makatibu watendaji tunarudi zama za mawe za kati...Dsm ipo mikoani sidhani
Umebana pua "tuwe makini na mabeberu..." huku masaa 24 uko bize na smartphone yao, je hawawezi kukuwekea radiation or anything to harm you as you daily claims??TUWE MAKINI SANA NA HAWA MABEBERU.TENA MBAYA ZAIDI TUMEKATAA CHANJO NA BILL GATES ALISEMA KUNA JANGA LITAKUJA BAYA ZAIDI HATUJUI LITAANZIA NCHI GANI.
Sidhani Kama kikosi cha emergency nachozungumzia Mimi hata maabara yao inakua mobile au unazungumzia hiyo ya kutuma sample daslm harafu unasema emergency? hapo vitu vingi mno vinatakiwa ili kulinda afya za Watanzania wenzetu...Nani kakuambia hakipo? Ubaya wa nyakati hizi ni kwamba sirikali yetu haitaki kuwa wazi.
Au umesahau Mwele alifanywaje baada ya kusema Tanzania kuna Zika virus? Sasa huyo Mwele ndiyo alikuwa hiko kitengo.
Kumbe "covid ya Tanzania" wagonjwa wanatapika damu? Jamii forum kimegeuka kijiwe cha wajinga kwasababu ya watu kama wewe!Nadhani itakuwa sio COVID
hii combo ikitokea itakuwa ni balaa na nusu.Korona + Ebola= kebo unaitwa kebo 2021