Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,021
- 2,253
May God gives you some wisdom.Ongea na viongozi wa dini.
Mayala B,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mayala B,
Sent using Jamii Forums mobile app
He! Huyu afatiliwe tusije kujuta tena ...Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga.
Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa.
Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata msaada kutoka popote pale ambao unaweza pata.
Toka unazaliwa unaishi kwenye shida mpaka unakua na mpaka kifo kinakuchukua kwa shida.
Roho yangu inaniuma sana.
Nami naweza tangulia muda wowote.
Nitawaletea kinachoendelea
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kujipa matumaini yasio na msingi,huyo Mungu alisha msaidia nani?
Mbona wote wanashida?hz faraja zako nizakijinga
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna shida idumuyo milele dawa ni kushirikisha wengine wakupe uzoefu hakuna shida yeyeto dunia ambayo ni mpya zote ni marudio tuKama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu.
Ndugu zangu naomba kusamehewa sana juu ya ndugu zetu waliojiua ambao mimi nilikuwa nawakejeli sana na kuwaona kama wajinga.
Kumbe walikuwa wako sahihi kabisa.
Kuna mambo magumu sana ambayo wanadamu tunapitia mpaka unabaki unashangaa hakuna hata msaada kutoka popote pale ambao unaweza pata.
Toka unazaliwa unaishi kwenye shida mpaka unakua na mpaka kifo kinakuchukua kwa shida.
Roho yangu inaniuma sana.
Nami naweza tangulia muda wowote.
Nitawaletea kinachoendelea
Asanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Yule mtu aliondoka ukajiua MpaukoKuna wapumbavu watakuja kukubeza hawaelewi unachopitia. Depression is real. Mi kuna mtu kila nikitaka kufanya maamuzi magumu yuko nyuma yangu kuniokoa nawaza siku akifa nafkiri ndo utakua mwisho wangu hapa duniani kwenu nyinyi wenye furaha.
Mkuu jipe moyo wiki ijayo muda kama huu hautakuwa kwenye hali hii uliyonayo sasa, kwa namna yoyote ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefanikiwa kujiua mkuuJina unalojiita ndipo tatizo linapoanzia.
Naona yuko kimya. I don't wanna hear bad news about the guy