Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,806
- 18,784
Naunga mkono watu kufanya maandamano kutetea na kupigania haki zao na pia ikibidi kupambana na watesi wao kwa 'Jino kwa Jino'
Lakini ni ni upumbavu mkubwa sana kuharibu, kuiba, kuchoma Moto Mali za watu ambao hawahusiki na mauaji ya huyo mtu mnayendama kupinga
Inawafanya watu kuwaona nyie ni watu wa vurugu, mnaoendeshwa kwa mihemko bila kufikiri
Ubaguzi upo kila mahali, Tuliona China juzi tu wakibaguliwa kisa Corona, India tunaona wakimbagua weusi, Urusi, Uarabuni, Ulaya n.k
Ila stereotype zinazofanya weusi wabaguliwe ni zile zile, wanachukuliwa Kama watu wavivu, wasio na nidhamu,
pia wahalifu wanaofanya uporaji, kuuza madawa, n.k japo wanaofikiria hivyo sio wote
Sasa wanachofanya Hawa ndugu zetu Huko USA kinazidi kupigia mstari na kukoleza hizi stereotypes dhidi ya weusi
Lakini ni ni upumbavu mkubwa sana kuharibu, kuiba, kuchoma Moto Mali za watu ambao hawahusiki na mauaji ya huyo mtu mnayendama kupinga
Inawafanya watu kuwaona nyie ni watu wa vurugu, mnaoendeshwa kwa mihemko bila kufikiri
Ubaguzi upo kila mahali, Tuliona China juzi tu wakibaguliwa kisa Corona, India tunaona wakimbagua weusi, Urusi, Uarabuni, Ulaya n.k
Ila stereotype zinazofanya weusi wabaguliwe ni zile zile, wanachukuliwa Kama watu wavivu, wasio na nidhamu,
pia wahalifu wanaofanya uporaji, kuuza madawa, n.k japo wanaofikiria hivyo sio wote
Sasa wanachofanya Hawa ndugu zetu Huko USA kinazidi kupigia mstari na kukoleza hizi stereotypes dhidi ya weusi