Watu wenye ushawishi zaidi duniani kisiasa na kijamii

Wildlifer

JF-Expert Member
May 12, 2021
1,883
5,186
Karl_Marx_001.jpg


61UD-5wNnPL._AC_SX466_.jpg


Calligraphic_representation_of_Muhammad's_name.jpg


1. MUHAMMAD (a.i.j.y/p.b.u.h/s.a.w)

Huyu ni mtume wa Mungu katika imani ya Dini ya Kiislam. Ndiye aliyeteremshiwa kitabu cha Quran Tukufu na kuasisi Dini ya Uislam. Matendo yake, maisha yake, mafundisho yake yamekuwa na ushawishi mkubwa na kuitengeneza dunia kuwa hivi ilivyo leo.

Ushawishi:
Wafuasi
—Muhammad anawafuasi takribani Bilioni 1.8 (mwaka 2018) takribani asilimia 25 ya watu wote duniani, ambao ni waumini wa dini ya kiislam.

Mtindo wa maisha
—Wapo watu (Mamilioni) wanaofuata mtindo wa mavazi wa Mtume Muhammad wa kuvaa suruali zisizovuka kifundo cha mguu, wapo wanaofuga ndevu na kuzinakshi kama alivyofanya yeye. Kwa ujumla, kundi hili la watu huyaigiza matendo ya Mtume Muhammad.

Vikundi vya kianaharakati
—Leo dunia inashuhudia vikundi vingi vyenye harakati ambazo zinatokana na mafunzo ya Mtume Muhammad katika maisha yake au Quran. Vikundi/harakati kama Al Qaeda, ISIS n.k.

Serikali
—Kupitia mafunzo yanayohimiza Uislam kushika hatamu ya mifumo yote ya maisha, leo dunia ina nchi 57 ambazo uislam ndio dini yao rasmi na mfumo wa uongozi. ⅓ ya serikali zote duniani, zimetokana na ideas za Mtume Muhammad. Brilliance!

Uchumi
—Kusanyiko kama la Hijja, hukusanya watu Milioni 2.5 kwa mwaka kutoka kila sehemu ya ulimwengu.

Kwa ujumla, mafunzo ya Mtume Muhammad yametumiwa na Mamilioni ya watu duniani, katika namna zote mbili (amani na vurugu).

YESU KRISTO.

Kama alivyo Mtume Muhammad, Yesu ndiye kinara wa dini ya Ukristo.

Ushawishi wake:
Wafuasi
—Takribani asilimia 32 [2.3 Bilioni] ya watu duniani ni wafuasi wa mafundisho na maisha ya Yesu Kristo. Hivyo; Muhammad na Yesu, wanaushawishi kwa zaidi ya Nusu ya watu wote duniani.

Serikali
—Kati ya serikali zote 195 duniani, Serikali 13 Ukristo ndio imani kuu ya nchi zao.

Vikundi vya kianaharakati
—Vipo vikundi ambavyo harakati zao (aidha za amani au vurugu), zinatokana na fikra au mafunzo ya Yesu Kristo kutoka kwenye Biblia. Vikundi kama Ku Klax Klan, Arm of God, au Lord Resistance Army vimekuwa na harakati ambazo zimechochewa na mafunzo hayo.

Uchumi
—Waumini wa Ukristo wamekuwa wakifanya ziara kutembelea maeneo mbalimbali ambayo yamesukumwa na mafunzo ya Ukristo. Maeneo kama Jerusalem, Roma, Nidaros, Santiago de Compostela n.k! Hutembelewa na mamia ya waumini hivyo kuwa sehemu ya uchumi wa dunia kwenye sekta ya utalii kwa vitu kama usafiri na mahoteli n.k

Yakadiriwa watu zaidi ya Milioni 1 (kwa miaka kumi-2007 hadi 2018), wameuwa kwa visa vya Ugaidi wa Kiislam na kikristo duniani.

KARL MARX

Huyu alikuwa ni mjerumani, aliyezaliwa nchini humo mwaka 1818 na kufariki London mwaka 1883. Huyu alikuwa ni mwanafalsafa wa kikomunist na mkosoaji mkubwa wa Ubepari. Watu mashuhuri kwenye historia kama Lenin, Stalin, Che Guevara, Mao, Nyerere, Sankara, Allende, Castro, Chavez n.k wote hawa msingi wao ni Karl Marx.

Katika maisha yake, Karl Marx alitoa kazi mbili ambazo zimeutengeneza ulimwengu kuwa hivi ulivyo sasa. Das Kapital—ambayo iliukosia mfumo wa Ubepari, na Communist Manifesto—ambayo ilieleza ni kwa vipi serikali ya kikomunist inapaswa iwe.

Ushawishi:
Mapinduzi
—Takribani miaka 70 toka Ilani ya wakomunist ichapishwe, Mawazo hayo yaliwekwa kwenye vitendo na warusi chini ya Vladimir Lenin na kufanya mapinduzi mwaka 1917 na kuweka serikali ya kikomunist. Serikali hii ndio ikawa moto wa nyika na kuanza kusambaza imani hii maeneo mengine, na kuziteka nchi jumla 14 kama Russia, Ukraine, Georgia, Belorussia, Uzbekistan, Armenia, Azerbaijan, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Moldova, Turkmenistan, Tajikistan, Latvia toka 1922 hadi kuanguka kwake mwaka 1991. Uwepo wa Soviet/marxism , ulizaa mapinduzi kwenye nyingi kama Congo, Cuba, China, Zanzibar, Bolivia, Brazil, Chile n.k

192095579-288-k554777.jpg


Vikundi vya kianaharakati
—Historia imeonyesha kuwa mawazo yamekuwa ni jambo hatari kuliko Silaha. Ideas ndio huwapa sababu ya watu kufyatua risasi. Ideas za Marxism, zilihamasisha matumizi ya vurugu katika kuifikia nchi ya kikomunist. Kutokana na mawazo hayo, dunia imeshuhudia vikundi kama 19 May Communist Organization Sandinistas, Shining Path, 19th of April Movement, na Revolutionary Armed Forces of Colombia (FARC). Vikundi hivi vimeendesha vurugu na mauji makubwa sana ulimwenguni. Yakadiriwa watu Milioni 100 hadi sasa wameuawa kutokana na ushawishi wa fikra za Karl Marx.
 
Japo hatakiwi kukumbukwa wala speech zake kutopatikana sehemu yoyote ile,ila Adolf Hitler anatakiwa akae hapo kwenye siti ya kwanza

Kama mtu aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana karne ya 20

Jarida maarufu la Marekani, Time Magazine lilimchagua Adolf Hitler kama mwanaume wa karne (karne ya 20) ila kwa sababu ya kimaadili

Wakampa Albert Einstein
 
View attachment 2028012

View attachment 2028013

View attachment 2028014

1. MUHAMMAD (a.i.j.y/p.b.u.h/s.a.w)

Huyu ni mtume wa Mungu katika imani ya Dini ya Kiislam. Ndiye aliyeteremshiwa kitabu cha Quran Tukufu na kuasisi Dini ya Uislam. Matendo yake, maisha yake, mafundisho yake yamekuwa na ushawishi mkubwa na kuitengeneza dunia kuwa hivi ilivyo leo.

Ushawishi:
Wafuasi
—Muhammad anawafuasi takribani Bilioni 1.8 (mwaka 2018) takribani asilimia 25 ya watu wote duniani, ambao ni waumini wa dini ya kiislam.

Mtindo wa maisha
—Wapo watu (Mamilioni) wanaofuata mtindo wa mavazi wa Mtume Muhammad wa kuvaa suruali zisizovuka kifundo cha mguu, wapo wanaofuga ndevu na kuzinakshi kama alivyofanya yeye. Kwa ujumla, kundi hili la watu huyaigiza matendo ya Mtume Muhammad.

Vikundi vya kianaharakati
—Leo dunia inashuhudia vikundi vingi vyenye harakati ambazo zinatokana na mafunzo ya Mtume Muhammad katika maisha yake au Quran. Vikundi/harakati kama Al Qaeda, ISIS n.k.

Serikali
—Kupitia mafunzo yanayohimiza Uislam kushika hatamu ya mifumo yote ya maisha, leo dunia ina nchi 57 ambazo uislam ndio dini yao rasmi na mfumo wa uongozi. ⅓ ya serikali zote duniani, zimetokana na ideas za Mtume Muhammad. Brilliance!

Uchumi
—Kusanyiko kama la Hijja, hukusanya watu Milioni 2.5 kwa mwaka kutoka kila sehemu ya ulimwengu.

Kwa ujumla, mafunzo ya Mtume Muhammad yametumiwa na Mamilioni ya watu duniani, katika namna zote mbili (amani na vurugu).

YESU KRISTO.

Kama alivyo Mtume Muhammad, Yesu ndiye kinara wa dini ya Ukristo.

Ushawishi wake:
Wafuasi
—Takribani asilimia 32 [2.3 Bilioni] ya watu duniani ni wafuasi wa mafundisho na maisha ya Yesu Kristo. Hivyo; Muhammad na Yesu, wanaushawishi kwa zaidi ya Nusu ya watu wote duniani.

Serikali
—Kati ya serikali zote 195 duniani, Serikali 13 Ukristo ndio imani kuu ya nchi zao.

Vikundi vya kianaharakati
—Vipo vikundi ambavyo harakati zao (aidha za amani au vurugu), zinatokana na fikra au mafunzo ya Yesu Kristo kutoka kwenye Biblia. Vikundi kama Ku Klax Klan, Arm of God, au Lord Resistance Army vimekuwa na harakati ambazo zimechochewa na mafunzo hayo.

Uchumi
—Waumini wa Ukristo wamekuwa wakifanya ziara kutembelea maeneo mbalimbali ambayo yamesukumwa na mafunzo ya Ukristo. Maeneo kama Jerusalem, Roma, Nidaros, Santiago de Compostela n.k! Hutembelewa na mamia ya waumini hivyo kuwa sehemu ya uchumi wa dunia kwenye sekta ya utalii kwa vitu kama usafiri na mahoteli n.k

Yakadiriwa watu zaidi ya Milioni 1 (kwa miaka kumi-2007 hadi 2018), wameuwa kwa visa vya Ugaidi wa Kiislam na kikristo duniani.

KARL MARX

Huyu alikuwa ni mjerumani, aliyezaliwa nchini humo mwaka 1818 na kufariki London mwaka 1883. Huyu alikuwa ni mwanafalsafa wa kikomunist na mkosoaji mkubwa wa Ubepari. Watu mashuhuri kwenye historia kama Lenin, Stalin, Che Guevara, Mao, Nyerere, Sankara, Allende, Castro, Chavez n.k wote hawa msingi wao ni Karl Marx.

Katika maisha yake, Karl Marx alitoa kazi mbili ambazo zimeutengeneza ulimwengu kuwa hivi ulivyo sasa. Das Kapital—ambayo iliukosia mfumo wa Ubepari, na Communist Manifesto—ambayo ilieleza ni kwa vipi serikali ya kikomunist inapaswa iwe.

Ushawishi:
Mapinduzi
—Takribani miaka 70 toka Ilani ya wakomunist ichapishwe, Mawazo hayo yaliwekwa kwenye vitendo na warusi chini ya Vladimir Lenin na kufanya mapinduzi mwaka 1917 na kuweka serikali ya kikomunist. Serikali hii ndio ikawa moto wa nyika na kuanza kusambaza imani hii maeneo mengine, na kuziteka nchi jumla 14 kama Russia, Ukraine, Georgia, Belorussia, Uzbekistan, Armenia, Azerbaijan, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Moldova, Turkmenistan, Tajikistan, Latvia toka 1922 hadi kuanguka kwake mwaka 1991. Uwepo wa Soviet/marxism , ulizaa mapinduzi kwenye nyingi kama Congo, Cuba, China, Zanzibar, Bolivia, Brazil, Chile n.k

View attachment 2028017

Vikundi vya kianaharakati
—Historia imeonyesha kuwa mawazo yamekuwa ni jambo hatari kuliko Silaha. Ideas ndio huwapa sababu ya watu kufyatua risasi. Ideas za Marxism, zilihamasisha matumizi ya vurugu katika kuifikia nchi ya kikomunist. Kutokana na mawazo hayo, dunia imeshuhudia vikundi kama 19 May Communist Organization Sandinistas, Shining Path, 19th of April Movement, na Revolutionary Armed Forces of Colombia (FARC). Vikundi hivi vimeendesha vurugu na mauji makubwa sana ulimwenguni. Yakadiriwa watu Milioni 100 hadi sasa wameuawa kutokana na ushawishi wa fikra za Karl Marx.
Chanzo cha taarifa (source)?
 
Japo hatakiwi kukumbukwa wala speech zake kutopatikana sehemu yoyote ile,ila Adolf Hitler anatakiwa akae hapo kwenye siti ya kwanza

Kama mtu aliyekuwa na ushawishi mkubwa sana karne ya 20

Jarida maarufu la Marekani, Time Magazine lilimchagua Adolf Hitler kama mwanaume wa karne (karne ya 20) ila kwa sababu ya kimaadili

Wakampa Albert Einstein
Ndio umeandika mini sasa?
 
View attachment 2028012

View attachment 2028013

View attachment 2028014

1. MUHAMMAD (a.i.j.y/p.b.u.h/s.a.w)

Huyu ni mtume wa Mungu katika imani ya Dini ya Kiislam. Ndiye aliyeteremshiwa kitabu cha Quran Tukufu na kuasisi Dini ya Uislam. Matendo yake, maisha yake, mafundisho yake yamekuwa na ushawishi mkubwa na kuitengeneza dunia kuwa hivi ilivyo leo.

Ushawishi:
Wafuasi
—Muhammad anawafuasi takribani Bilioni 1.8 (mwaka 2018) takribani asilimia 25 ya watu wote duniani, ambao ni waumini wa dini ya kiislam.

Mtindo wa maisha
—Wapo watu (Mamilioni) wanaofuata mtindo wa mavazi wa Mtume Muhammad wa kuvaa suruali zisizovuka kifundo cha mguu, wapo wanaofuga ndevu na kuzinakshi kama alivyofanya yeye. Kwa ujumla, kundi hili la watu huyaigiza matendo ya Mtume Muhammad.

Vikundi vya kianaharakati
—Leo dunia inashuhudia vikundi vingi vyenye harakati ambazo zinatokana na mafunzo ya Mtume Muhammad katika maisha yake au Quran. Vikundi/harakati kama Al Qaeda, ISIS n.k.

Serikali
—Kupitia mafunzo yanayohimiza Uislam kushika hatamu ya mifumo yote ya maisha, leo dunia ina nchi 57 ambazo uislam ndio dini yao rasmi na mfumo wa uongozi. ⅓ ya serikali zote duniani, zimetokana na ideas za Mtume Muhammad. Brilliance!

Uchumi
—Kusanyiko kama la Hijja, hukusanya watu Milioni 2.5 kwa mwaka kutoka kila sehemu ya ulimwengu.

Kwa ujumla, mafunzo ya Mtume Muhammad yametumiwa na Mamilioni ya watu duniani, katika namna zote mbili (amani na vurugu).

YESU KRISTO.

Kama alivyo Mtume Muhammad, Yesu ndiye kinara wa dini ya Ukristo.

Ushawishi wake:
Wafuasi
—Takribani asilimia 32 [2.3 Bilioni] ya watu duniani ni wafuasi wa mafundisho na maisha ya Yesu Kristo. Hivyo; Muhammad na Yesu, wanaushawishi kwa zaidi ya Nusu ya watu wote duniani.

Serikali
—Kati ya serikali zote 195 duniani, Serikali 13 Ukristo ndio imani kuu ya nchi zao.

Vikundi vya kianaharakati
—Vipo vikundi ambavyo harakati zao (aidha za amani au vurugu), zinatokana na fikra au mafunzo ya Yesu Kristo kutoka kwenye Biblia. Vikundi kama Ku Klax Klan, Arm of God, au Lord Resistance Army vimekuwa na harakati ambazo zimechochewa na mafunzo hayo.

Uchumi
—Waumini wa Ukristo wamekuwa wakifanya ziara kutembelea maeneo mbalimbali ambayo yamesukumwa na mafunzo ya Ukristo. Maeneo kama Jerusalem, Roma, Nidaros, Santiago de Compostela n.k! Hutembelewa na mamia ya waumini hivyo kuwa sehemu ya uchumi wa dunia kwenye sekta ya utalii kwa vitu kama usafiri na mahoteli n.k

Yakadiriwa watu zaidi ya Milioni 1 (kwa miaka kumi-2007 hadi 2018), wameuwa kwa visa vya Ugaidi wa Kiislam na kikristo duniani.

KARL MARX

Huyu alikuwa ni mjerumani, aliyezaliwa nchini humo mwaka 1818 na kufariki London mwaka 1883. Huyu alikuwa ni mwanafalsafa wa kikomunist na mkosoaji mkubwa wa Ubepari. Watu mashuhuri kwenye historia kama Lenin, Stalin, Che Guevara, Mao, Nyerere, Sankara, Allende, Castro, Chavez n.k wote hawa msingi wao ni Karl Marx.

Katika maisha yake, Karl Marx alitoa kazi mbili ambazo zimeutengeneza ulimwengu kuwa hivi ulivyo sasa. Das Kapital—ambayo iliukosia mfumo wa Ubepari, na Communist Manifesto—ambayo ilieleza ni kwa vipi serikali ya kikomunist inapaswa iwe.

Ushawishi:
Mapinduzi
—Takribani miaka 70 toka Ilani ya wakomunist ichapishwe, Mawazo hayo yaliwekwa kwenye vitendo na warusi chini ya Vladimir Lenin na kufanya mapinduzi mwaka 1917 na kuweka serikali ya kikomunist. Serikali hii ndio ikawa moto wa nyika na kuanza kusambaza imani hii maeneo mengine, na kuziteka nchi jumla 14 kama Russia, Ukraine, Georgia, Belorussia, Uzbekistan, Armenia, Azerbaijan, Kazakhstan, Kyrgyzstan, Moldova, Turkmenistan, Tajikistan, Latvia toka 1922 hadi kuanguka kwake mwaka 1991. Uwepo wa Soviet/marxism , ulizaa mapinduzi kwenye nyingi kama Congo, Cuba, China, Zanzibar, Bolivia, Brazil, Chile n.k

View attachment 2028017

Vikundi vya kianaharakati
—Historia imeonyesha kuwa mawazo yamekuwa ni jambo hatari kuliko Silaha. Ideas ndio huwapa sababu ya watu kufyatua risasi. Ideas za Marxism, zilihamasisha matumizi ya vurugu katika kuifikia nchi ya kikomunist. Kutokana na mawazo hayo, dunia imeshuhudia vikundi kama 19 May Communist Organization Sandinistas, Shining Path, 19th of April Movement, na Revolutionary Armed Forces of Colombia (FARC). Vikundi hivi vimeendesha vurugu na mauji makubwa sana ulimwenguni. Yakadiriwa watu Milioni 100 hadi sasa wameuawa kutokana na ushawishi wa fikra za Karl Marx.

Unaposema Mtume Alishushiwa quran hapo ndiyo huwa nashindwa kuelewa inamaana huyo Alla aliyeishusha hiyo qurani ni mwarabu?
 
Unaposema Mtume Alishushiwa quran hapo ndiyo huwa nashindwa kuelewa inamaana huyo Alla aliyeishusha hiyo qurani ni mwarabu?
Kwa mujibu wa imani ya kiislam [Keyword: IMANI], Ni kuwa Muhammad ndiye aliyeteremshiwa Quran na Mungu kupitia Malaika Jibril [ Angel Gabriel], of course sababu Muhammad alikuwa na ujuzi wa lugha ya kiarabu, so Malaika alibidi atumie lugha hiyo hiyo. Vinginevyo wasingeweza elewana.
 
Kwa mujibu wa imani ya kiislam [Keyword: IMANI], Ni kuwa Muhammad ndiye aliyeteremshiwa Quran na Mungu kupitia Malaika Jibril [ Angel Gabriel], of course sababu Muhammad alikuwa na ujuzi wa lugha ya kiarabu, so Malaika alibidi atumie lugha hiyo hiyo. Vinginevyo wasingeweza elewana.

kwa hiyo lugha ya mbinguni ni kiarabu?
 
Akikujibu nitag mkuu, maana hao jamaa kijana wa bin Abdulah kawaaribu fahamu zao! Mtu alikuwa hajui kusoma wala kuandika lakini aliweza kuwahadaa kuwa kiarabu ndicho alishushiwa waiii
Kwanza ieleweke mimi sio Muislam, ingawa nimeusoma kwa kiasi fulani, pili Naitazama masuala ya dini katika jicho la Kihistoria.

Mbinguni lugha yao ni kiarabu?

Sidhani kama ndio tafsiri sahihi ya nilichokisema. Nimesema Malaika Jibril alizungumza na Muhammad kwa kiarabu. Sasa mbinguni kuwa lugha gani, hilo sifahamu.

Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika;

Nayo sio hoja ya yeye kuteremshiwa Quran. Quran alipoteremshiwa Muhammad, ilikuwa ni verbally, so Muhammad alianza waelezea wenzake waliokuwa wakijua kusoma na kuandika, kisha wao ndio wakaweka kwenye maandishi.
 
Kwanza ieleweke mimi sio Muislam, ingawa nimeusoma kwa kiasi fulani, pili Naitazama masuala ya dini katika jicho la Kihistoria.

Mbinguni lugha yao ni kiarabu?

Sidhani kama ndio tafsiri sahihi ya nilichokisema. Nimesema Malaika Jibril alizungumza na Muhammad kwa kiarabu. Sasa mbinguni kuwa lugha gani, hilo sifahamu.

Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika;

Nayo sio hoja ya yeye kuteremshiwa Quran. Quran alipoteremshiwa Muhammad, ilikuwa ni verbally, so Muhammad alianza waelezea wenzake waliokuwa wakijua kusoma na kuandika, kisha wao ndio wakaweka kwenye maandishi.

Kwa iyo mkuu katika kusoma kwako umetambua malaika wanazungumza lugha gani?
 
Kwa iyo mkuu katika kusoma kwako umetambua malaika wanazungumza lugha gani?
Malaika Jibril alizungumza na Mama yake Yesu—Hivyo, katika hali ya kawaida walizungumza kiebrania (ambayo ndio ilikuwa lugha ya Maria), kinyume na hapo wasingeelewana.

Jibril alizungumza na Muhammad—Hivyo lugha ni kiarabu.

Ukitazama mifano hiyo, kimantiki unaona kuwa Malaika Jibril alikuwa ni multilingual. Sasa hiyo Multilingualism yake, unaweza itafsiri kuwa ni uwezo wa Kimungu. So, malaika wanazungumza lugha gani, ni Multilingual [kama kweli wapo, na kama kweli walizungumza na watu wa kabila na lugha tofauti tofauti].
 
Yesu tena.mbona sijakuelewa,YESU ni Mungu sasa anaushawishi?jamani kuweni na adabu na imani za watu,...labda ungesema wanafunzi wake mfano PAULO,PETRO hao ni watu wenye ushawishi.lakin sio yesu.Yesu ni kiwango kingine katika ulimwengu wa mwili na roho
Ok, tuseme ni Mungu kama unavyosema, je inabilisha nini katika hayo niliyoyasema kumuhusu yeye? Mf ushawishi—kuwa na wafuasi zaidi ya Bil 3.
 
Kwanza ieleweke mimi sio Muislam, ingawa nimeusoma kwa kiasi fulani, pili Naitazama masuala ya dini katika jicho la Kihistoria.

Mbinguni lugha yao ni kiarabu?

Sidhani kama ndio tafsiri sahihi ya nilichokisema. Nimesema Malaika Jibril alizungumza na Muhammad kwa kiarabu. Sasa mbinguni kuwa lugha gani, hilo sifahamu.

Muhammad alikuwa hajui kusoma wala kuandika;

Nayo sio hoja ya yeye kuteremshiwa Quran. Quran alipoteremshiwa Muhammad, ilikuwa ni verbally, so Muhammad alianza waelezea wenzake waliokuwa wakijua kusoma na kuandika, kisha wao ndio wakaweka kwenye maandishi.

Kwa Maelezo Yako Kumbe quran iliandikwa na wanadam? mtume yeye aliambiwa maneno ndipo yeye akawaeleza rafiki zake waliokuwa wanajua kusoma na kuandika,
 
Back
Top Bottom