lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,137
- 33,200
Dr WP Slaa,
Zitto Z Kabwe
Kitila Mkumbo
Samson Mwigamba,
D. Kafulila
.............
Hawa watu walikua ni CHADEMA na CHADEMA ilikua ni watu Hawa.
Cha ajabu siku walipotoka watu walidhani CHADEMA inaenda kusambaratika lakini wapi.
Lijuakali Ni Nani ndani ya CDM
Dk Slaa aliandaliwa na press conference Tena siku chache kabla ya Uchaguzi ukweli aliishia kuondoka yet na mke wake tu.
Tazama maajabu na nguvu za ajabu za CHADEMA, mtu walioshiriki kumchafua na kumtangaza kua ni fisadi na watu wote wakamkataa Lowasa waliweza kumnadi na watu wakampa kura zao,hata yeye hakuamini kilichotokea. Hiyo ni nguvu kubwa sana ya ushawishi.
Watu walimpigia kura Lowasa huku roho zinawauma lakini hiyo ni kutokana na nguvu ya ushawishi ya CHADEMA.
CHADEMA ilipofikia hata aondoke Mbowe CHADEMA itaendelea kuwepo.
Lijuakali na wenzake mjitafakari sana.huko muendako mnaenda kufa kisiasa.
Zitto Z Kabwe
Kitila Mkumbo
Samson Mwigamba,
D. Kafulila
.............
Hawa watu walikua ni CHADEMA na CHADEMA ilikua ni watu Hawa.
Cha ajabu siku walipotoka watu walidhani CHADEMA inaenda kusambaratika lakini wapi.
Lijuakali Ni Nani ndani ya CDM
Dk Slaa aliandaliwa na press conference Tena siku chache kabla ya Uchaguzi ukweli aliishia kuondoka yet na mke wake tu.
Tazama maajabu na nguvu za ajabu za CHADEMA, mtu walioshiriki kumchafua na kumtangaza kua ni fisadi na watu wote wakamkataa Lowasa waliweza kumnadi na watu wakampa kura zao,hata yeye hakuamini kilichotokea. Hiyo ni nguvu kubwa sana ya ushawishi.
Watu walimpigia kura Lowasa huku roho zinawauma lakini hiyo ni kutokana na nguvu ya ushawishi ya CHADEMA.
CHADEMA ilipofikia hata aondoke Mbowe CHADEMA itaendelea kuwepo.
Lijuakali na wenzake mjitafakari sana.huko muendako mnaenda kufa kisiasa.