Watu wenye Akili Duniani.

serengo

JF-Expert Member
Jul 30, 2013
478
339
Najaribu kuwaza tu mfano ikifanyika sensa ya utambuzi Wa akili za watu duniani ( kutafuta nchi yenye watu wenye akili sana nchi ya kwanza hadi ya mwisho) unafikili Tanzania inaweza shika namba ngapi na kwa nini?
 
Najaribu kuwaza tu mfano ikifanyika sensa ya utambuzi Wa akili za watu duniani ( kutafuta nchi yenye watu wenye akili sana nchi ya kwanza hadi ya mwisho) unafikili Tanzania inaweza shika namba ngapi na kwa nini?
Usiseme akili sema uwezo wa kutambua kipi sahihi na si sahihi (IQ) akili ata chizi anazo.
 
Mkuu E.Chenge ni binadamu wa pekee kuwahi kuumbwa anawakimbiza watu 50 million mchana kweupeeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom