Finder boy
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 608
- 150
- Thread starter
- #61
sijawahi kutumia simu ya laki nne, simu ninayotumia ilinunuliwa kwa shilingi elfu tisini, ni Itel mkuu.Mkuu mimi mwenyewe nilianza sina chochote kama yeye, tena yeye ana bahati ana hela ya bundle na smart phone anaingia JF ila niliweza
Ni kweli anaweza akakosa hiyo laki moja ya mtaji lakini ana simu ya laki nne, tatizo letu vijana ni hadi umwambie hii ni hela ya mtaji ndio anaanza hatuwezi jiongeza kabisa
Kujiajiri ni vita ambayo unatakiwa ujikane mwenyewe (kwa sisi ambao kwenye familia zetu ndio tunatoboa horizon),unaweza kaa mwaka mzima hujapata project wala nini, unasonga mbele .
Kwa hiyo [HASHTAG]#christelly[/HASHTAG] naelewa jamaa anapitia nini. Kama mimi nilifanikiwa na yeye atafanikiwa tu, ajipe moyo