Watu wengine sijui wanafikiria nini?

kansije

Member
Sep 16, 2010
50
10
Huyu Jamaa mwenye hii pub sijui alifikiria nini kuipa jina la kimyakimya

Photo-0012.jpg
 
Hii mbona km vile li'pub' flan pale karatu karibu na ofisi ya mkuu wa wilaya!?
 
hiyo ya ukweli, hata wahudumu hadi mke wa bosi we ukimtaka unamalizana nae kimyakimya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom