Watu wengi wenye Ulemavu ni Wakorofi na Wenye roho mbaya.

True that, wakati mwingine inawezekana jamii inawatreat vyema tu, sema kiasili kama una udhaifu flani unakua unadhani/hisi yote yasiyofanikiwa kwako yamesababishwa na jinsi ulivyo/unavyoonekana.

Tujifunze tu kuchukuliana nao na kuishi nao kwa upendo hata pale tunapoona hawaonyeshi kuridhika na yale tunayowafanyia.
Wahenga wanasema "tenda wema nenda zako usingoje shukrani".

Kabisa mkuu,kiufupi wana ile hali ya kujistukia kutokana na yale mapungufu waliyonayo
 
Nafikiri ni kwasababu tayari wanajiona ni wadhaifu na kuhisi watu wanawadharau. Wewe ndio unapaswa uwaelewe maana hali hiyo kidogo ni changamoto.
Hatupaswi kuwahukumu maana sote tu walemavu watarajiwa.
 
Hicho ni kweli most of them wapo hivo kuna lecturer ni kilema anatunga mitihan migumu ili watu wafeli huku akisema kabsa km dunia ingekuwa fair m nisingeumbwa nipo hivo
Mkuu huyo lecturer unayemsema kama namfahamu hivi. Lakini kama ni huyo ninayemdhania basi kwa sasa yeye siyo lecturer tena. Mamlaka za nchi ziliona inafaa yeye kutumika zaidi ya ulecturer zikamteua na kumpatia ofisi nzuri zaidi ya hiyo ya ujalala wa udsm kwa mujibu wa palamagamba kabudi.
 
Kuna mmoja uyo yupo Mwanza toka nime anza form 1 adi namaliza form 6 ..namuonaga town asubuh ana omba na kubadili maeneo afu jion analewa ..
 
sio wana roho mbaya ni defense mechanism......

In psychology, compensation is a strategy whereby one covers up, consciously or unconsciously, weaknesses, frustrations, desires, or feelings of inadequacy or incompetence in one life area through the gratification or (drive towards) excellence in another area. Compensation can cover up either real or imagined deficiencies and personal or physical inferiority. Positive compensations may help one to overcome one's difficulties. On the other hand, negative compensations do not, which results in a reinforced feeling of inferiority.

There are two kinds of negative compensation:

Overcompensation, characterized by a superiority goal, leads to striving for power, dominance, self-esteem, and self-devaluation.
Undercompensation, which includes a demand for help, leads to a lack of courage and a fear for life.
 
Mtu akiwa na tatizo fulani au ugonjwa fulani na hasa akiwa amewahi kutendewa jambo la kumkera kutokana na udhaifu wake basi anaweza akawa very negative kwa watu. Mfano mgonjwa wa UKIMWI. Ukimtazama sana anaweza kukwambia 'Unashangaa nini' au mtu ambaye alikuwa anafeli sana au kilaza darasani, wengi wao unaweza kukutana nao wanakuuliza maswali mradi umwambie hujui ili aseme 'We si ndio ulikuwa unafaulu sana' yani anajenga ubishani ndani ya moyo wake na ukimkosoa anaweza kukupiga.... so ni hali ya kuwa na inferiority inayotokana na udhaifu fulani na si viungo tu.
 
Back
Top Bottom