Gembe
JF-Expert Member
- Sep 25, 2007
- 2,502
- 156
Ndugu wana Bodi kumekuwa na hoja nyingi ambazo zimejizokeza hasa la madaraka ya Urais waNchi yetu,Kuna watu wamnampigia chepuo Wazitri Mkuu Lowassa na wengine wanasema kitendo cha Membe kung;ara katika NEC ni hatua mojawapo katika kuufukuzia urais wa mwaka 2015,wakati nawaza haya nikakumbuka maneno ya mwalimu watu wengi wanakimbilia Ikulu, Ikulu kuna nini?anayejua ikulu kuna nini atuambie.?
Mkuu wa Kaya hakai ofisini,sijui tatizo ni nini?Je watu wanakimbilia hizi safari za anazofanya Muungwana?
Je ni Miradi ambayo huwa inafanyika hapo Mahala patakatifu palipogeuzwa kuwa pango la wanyang'anyi?
Je ni huu mradi ya Hotel y akitalii ambayo mke wa Muungwana ameanza kujengahapa Lindi na ujenzi unakaribia kukamilika?
Naomba kuwasilisha,nipo Lindi kwa sasa nitakuwa nawapa yanayojiri hapa katika ziara ya Muungwana hapa Lindi..
Mkuu wa Kaya hakai ofisini,sijui tatizo ni nini?Je watu wanakimbilia hizi safari za anazofanya Muungwana?
Je ni Miradi ambayo huwa inafanyika hapo Mahala patakatifu palipogeuzwa kuwa pango la wanyang'anyi?
Je ni huu mradi ya Hotel y akitalii ambayo mke wa Muungwana ameanza kujengahapa Lindi na ujenzi unakaribia kukamilika?
Naomba kuwasilisha,nipo Lindi kwa sasa nitakuwa nawapa yanayojiri hapa katika ziara ya Muungwana hapa Lindi..