Watu wengi waliopo kwenye ndoa hawana furaha!

swala hili lipo toka zamani tafauti iliyopo sasa na zamani ni kuwa

1. zamani mwanamke alikuwa hana sauti (mfumo dume) kwahiyo walivumilia yaliyo tokea ndani na kufunika kombe, ilikuwa aibu ya familia mwanamke kuachika. sasa hivi kila mmoja anasharubu hakuna kuvumiliana ni mwendo wa kupiga chini.

2. teknolojia imekuja kuharibu mfumo uliojengeka kama utamaduni na mila za kiafrika. sasa hivi kilammoja anaitwa mzungu, maisha ya kuigiza kwa pandezote mbili. Hakuna siri. Mtu akikwazika kaingia JF, FB INST. kutafuta solution anakutana na akina mtanashati, demiss at el wanaomjaza upupu na sio kwa wazazi wenye hekima wanaoweza kumfunda akaelewa.

3. Money (ask mengi widow)

1565270221401.png

1565270158690.png
1565270188306.png
 
Tupeni mrejesho kama mna furaha kweli!

Leo ukiangalia ndoa nyingi zimepooza na kufunikwa na wingu zito la mizozo kila kukicha
Ukiwauliza wanandoa wengi husema Mwanzoni mwa ndoa yetu tulipendana kwa dhati,lakini shauku na penzi letu siku hizi imepotea.
Hakuna urafiki mzuri kati yetu kama hapo awali wala hatufurahii kuwa pamoja,hata kucheka inakuwa tatizo pamoja na kulala kitanda kimoja na ushirika wao katika mambo mengi.
Ndoa zingine wana ndoa hawawezi hata kujadili matatizo yao kwa pamoja, mbaya zaidi kufanya mapenzi kwao imekuwa kama wajibu badala ya starehe.

Hii ni hatari maana hakuna mtu kati yao anayejisikia shauku ya mapenzi kwa mwenzi wake.
Ukichunguza sio kwamba kuna mtu anatoka nje ya ndoa hapana utawasikia wanasema ndoa yetu haina upendo.

Matatizo ya ndoa yapo mengi na yanatofautiana ndoa na ndoa,lakini vilio vingi vya ndoa vinafanana.

Nyongeza : Ambao hatujaolewa tunatamani kweli Kuingia kwenye ndoa .


Location: Napita kwa huzuni.
Naomba nikuoe
 
Oooh kwahiyo ni kweli haya mambo yanasababisha ndoa zisiwe na furahaaa
swala hili lipo toka zamani tafauti iliyopo sasa na zamani ni kuwa

1. zamani mwanamke alikuwa hana sauti (mfumo dume) kwahiyo walivumilia yaliyo tokea ndani na kufunika kombe, ilikuwa aibu ya familia mwanamke kuachika. sasa hivi kila mmoja anasharubu hakuna kuvumiliana ni mwendo wa kupiga chini.

2. teknolojia imekuja kuharibu mfumo uliojengeka kama utamaduni na mila za kiafrika. sasa hivi kilammoja anaitwa mzungu, maisha ya kuigiza kwa pandezote mbili. Hakuna siri. Mtu akikwazika kaingia JF, FB INST. kutafuta solution anakutana na akina mtanashati, demiss at el wanaomjaza upupu na sio kwa wazazi wenye hekima wanaoweza kumfunda akaelewa.

3. Money (ask mengi widow)

View attachment 1175631
View attachment 1175628View attachment 1175630
 
Hahahaha wewe umetisha jaman kwahiyo saivi hakuna haja ya kuolewa?
Nimekaa.... Nimetafakariiii...nimegundua kuoa/kuolewa nimtindo wakizamani ambao ulishapitwa nawakati kama vile mwanamke kuvaa gaguro kwakipindi hiki
 
Mm nimeshuhudia wamama kama watano wanalia ndoa ndoa sasa wananifanya nichanganyikiwe kabisa
Hata wewe Hina furaha kwenye mahusiano ambayo si ndoa... Na ndo sababu kupiga chini MTU hukawii au wewe kupigwa chini hukawii....
 
Kwa kweli ndoa nyingi hazina Amani, na hakuna sababu ya msingi ya kutokuwa na Amani ila ni wanandoa wenyewe tu wameamua kuishi hivyo. Kwani kuishi kwa furaha au karaha ni maamuzi ya wanandoa, sasa kama mnaona karaha si muamue muishi kwa Amani ila kila mtu anajifanya yeye kamanda bendera bati mlingoti chuma. Acha sisi tuendele kula matunda tuliyorithi kuotka kwa adamu na Hawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom