The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,871
Kila mara nikipata nafasi ya kuzungumza na watu wazima
hasa wanaume ambao wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka15 na kuendelea
ajabu ni kuwa maoni yao karibu yote au niseme asilimia 90 kuhusu ndoa na wanawake
ni negative kabisa.......
wengi huwa kama wanajutia hivi au hawawapendi wake zao...
na watu hawa ambao nazungumza nao ni mchanganyiko,
i mean wengine wana elimu ya kutosha,wengine elimu ya kawaida
wengine kipato kikubwa,wengine kipato kidogo au wastani...
but karibu wote
nikiwauliza kitu wananifanya niogope au niwatazame wanawake kwa ujumla
tofauti......
wengi wao watakwambia.....wanawake hawana shukrani....
hata umfanyie nini mwanamke atatoka tu nje..
wanawake wote makatili...na wana roho mbaya..
wanawake hawasamehi....
wanawake hivi,wanawake vile...
kwa ufupi its all negative......
yaani ukikuta mwanaume over 45 anaongea kitu positive kwa ujumla kuhusu wanawake ni nadra sana.........
najiuliza nini hasa??????tatizo lipo wapi????????????
hasa wanaume ambao wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka15 na kuendelea
ajabu ni kuwa maoni yao karibu yote au niseme asilimia 90 kuhusu ndoa na wanawake
ni negative kabisa.......
wengi huwa kama wanajutia hivi au hawawapendi wake zao...
na watu hawa ambao nazungumza nao ni mchanganyiko,
i mean wengine wana elimu ya kutosha,wengine elimu ya kawaida
wengine kipato kikubwa,wengine kipato kidogo au wastani...
but karibu wote
nikiwauliza kitu wananifanya niogope au niwatazame wanawake kwa ujumla
tofauti......
wengi wao watakwambia.....wanawake hawana shukrani....
hata umfanyie nini mwanamke atatoka tu nje..
wanawake wote makatili...na wana roho mbaya..
wanawake hawasamehi....
wanawake hivi,wanawake vile...
kwa ufupi its all negative......
yaani ukikuta mwanaume over 45 anaongea kitu positive kwa ujumla kuhusu wanawake ni nadra sana.........
najiuliza nini hasa??????tatizo lipo wapi????????????