Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Watu wawili wamefariki Dunia na wengine wanne kujeruhiwa katika ajali iliyotokea Daraja la Mto Wami baada ya Noah kutumbukia Mtoni baada ya kugongwa na lori ambalo lilifeli breki.
"Waliofariki ni Bibi mmoja ambaye jina lake halijafahamika, pamoja na Mjukuu wake mwenye umri wa miezi tisa" -Zainabu Kawawa, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo
"Waliofariki ni Bibi mmoja ambaye jina lake halijafahamika, pamoja na Mjukuu wake mwenye umri wa miezi tisa" -Zainabu Kawawa, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo