Watu watatu wafikishwa kortini wakikabiliwa na shitaka la kusafirisha Dawa Za Kulevya aina ya Heroine Kg 30

Hawa walikuwa wanatumika kama chimbo&supply ni wageni wa kazi hiyoo
Wangejua sahv unga kuushika kukaa nao ni soo
Majigambo pia yamewaponza ndomna kesi yao mahakamani mpka bongomovie wasanii walienda kusikiliza mpk wengne wakaawa wanalia
Maana kutoka hawa ni mtihani

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe. Inaonekana ni wageni. Muuza unga mwenye akili hawezi kujiweka namna hiyo. Hata ukimkuta sehemu ni lazima utamshtukia tu kwa jinsi walivyo.
 
NDIO hawa hawa vijana wanatutombea madem zetu na madem zetu utawasikia fulan yupo smart kichwan hustler si unamchek side mbasha kaanza juz tu dukanla.nguo lakn anapanda tu
Utaambiwa wewe sijui unakwama wapi?
Hahaha mahakamani walikuwepo wasani bongo
Movie sasa sjui walijua wataachiliwa kwa dhamana

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Na hashtag yake et mivimbonation,yaan kazi yake yeye ni kutuvimbia tu kitaa
20210311_195938.jpg
 
Back
Top Bottom