mwanamwana
JF-Expert Member
- Aug 1, 2011
- 1,076
- 4,113
Mganga Mkuu wa Hospitali ya Wilaya ya Rungwe Mkoa wa Mbeya, Diodes Ngaiza amesema, watu watano wamethibitika kufariki kutokanana na ajali kati ya basi la Kyela Express na basi dogo aina ya Toyota Coaster, huku majeruhi wakifikia 31.
Akizungumza na Mwananchi kwa simu leo Jumanne Oktoba 11, Dk Ngaiza amesema kuwa kati ya majeruhi hao, 14 walikimbizwa katika hosptali ya Mission Igogwe, huku 17 katika hosptali ya Wilaya ambapo watatu walipoteza maisha wakipatiwa matibabu na wanne wamepewa Rufaa katika hosptali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) kwa matibabu zaidi.
Chanzo: Mwananchi
Akizungumza na Mwananchi kwa simu leo Jumanne Oktoba 11, Dk Ngaiza amesema kuwa kati ya majeruhi hao, 14 walikimbizwa katika hosptali ya Mission Igogwe, huku 17 katika hosptali ya Wilaya ambapo watatu walipoteza maisha wakipatiwa matibabu na wanne wamepewa Rufaa katika hosptali ya Rufaa Kanda ya Mbeya (MZRH) kwa matibabu zaidi.
Chanzo: Mwananchi