Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 7,587
- 12,113
Habari za Mei Mosi,
Nilikuwa napata umeme units 75,kwa chini ya 9200 kwa mwezi.
Mwezi wa nne mwanzoni nilinunua umeme na kupata units 36, baada ya siku 3, watu/mtu asiyejulikana akanununua umeme na kupata units 41,bila mimi kujua chochote.
Jana nikaenda TANESCO kununua umeme wa 4,000 cha ajabu nikapata units 9 tu, nikashtuka sana.
Nikaenda kuuliza ndio nikaambiwa kuwa ndani ya mwezi Aprili nimenunua umeme zaidi ya units 75 za kwenye tariff yangu, hivyo nimepelekwa tariff 4, ambayo nanunua umeme kwa unit 1 kwa Tsh 350.
Naomba kujua nini nifanye ili nirudishwe kwenye tariff yangu ya awali? Maana nyumba ni ya familia tu na hatuna matumizi ya umeme makubwa.
Cc:TANESCO
Asanteni wote.
Nilikuwa napata umeme units 75,kwa chini ya 9200 kwa mwezi.
Mwezi wa nne mwanzoni nilinunua umeme na kupata units 36, baada ya siku 3, watu/mtu asiyejulikana akanununua umeme na kupata units 41,bila mimi kujua chochote.
Jana nikaenda TANESCO kununua umeme wa 4,000 cha ajabu nikapata units 9 tu, nikashtuka sana.
Nikaenda kuuliza ndio nikaambiwa kuwa ndani ya mwezi Aprili nimenunua umeme zaidi ya units 75 za kwenye tariff yangu, hivyo nimepelekwa tariff 4, ambayo nanunua umeme kwa unit 1 kwa Tsh 350.
Naomba kujua nini nifanye ili nirudishwe kwenye tariff yangu ya awali? Maana nyumba ni ya familia tu na hatuna matumizi ya umeme makubwa.
Cc:TANESCO
Asanteni wote.