Zimmermann
JF-Expert Member
- Sep 28, 2010
- 2,790
- 1,232
Hao waliokamatwa ni walewale waislam waliobomoa na kuiba. Unakataa nini wakati shehe wenu aliwapongeza na kuwahimiza waislam sehemu nyingine wabomoe, waibe na kuchoma makanisa??hapo paliko andikwa waislam ni wapi au ndo muendelezo wa chuki zenu?
Hakika we kafiri una matatizo, gazeti lenyewe halijaandika hivyo ndomana umeleta habari nusu ili kuficha ukweli.
Acha kupoteza muda kujaribu kuupaka matope uislam.
Mnatukejeli tupandishe hasira, tukijibu mapigo mnaanza kulialia.