Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,235
- 8,779
Wivu wq kila kitu unao
Ndio mafundisho ya kanisa hayo ??
Sasa tuambie huyu aliyesema maneno haya uliyoyaleta ni nani ??
Luka 9:18-21 "Yesu aliwauliza wanafunzi wake kua je makutano hao wanasema ya kua mimi ni nani? Wanafunzi wake wakajibu yohana mbatizaji wengine wanasema wewe ni Eliya lakini petro akamjibu kua Ndiwe Kristo wa Mungu"