Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Kuna taarifa zakupotea vijana watano zinasambaa mitandaoni Lakini hakuna kiuongozi wa serikali aliyetia Beno, wote wapo kimya kama vile waliopotea siyo watu. Viongozi wa dini nao wapo kimya utadhani Hawa siyo waumini wao.
Ni lini mliopewa dhamana mtachukulia haya mambo kwa uzito wake? Six years same story na tunaamini tupo salama miyoyoni? Tunaposikia visa vya mauaji tukakaa kimya tunasubiri wafe au wapotee ndugu zetu?
Nani katufundisha kukalia kimya nafsi zinapopotea au kufa? Kwamba tunaamini wapo wanaolindwa waishi na wapo wanaotakiwa kutolindwa? Hawa siyo wanyama, ukimya huu unapanda chuki na ubaguzi kuhusu Haki ya kuishi Kwa watu waliopo Tanzania, tafakarini
Ni lini mliopewa dhamana mtachukulia haya mambo kwa uzito wake? Six years same story na tunaamini tupo salama miyoyoni? Tunaposikia visa vya mauaji tukakaa kimya tunasubiri wafe au wapotee ndugu zetu?
Nani katufundisha kukalia kimya nafsi zinapopotea au kufa? Kwamba tunaamini wapo wanaolindwa waishi na wapo wanaotakiwa kutolindwa? Hawa siyo wanyama, ukimya huu unapanda chuki na ubaguzi kuhusu Haki ya kuishi Kwa watu waliopo Tanzania, tafakarini