Watu wanaopenda kukaa chooni muda mrefu: Ushauri plz

dostum

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
215
110
salams
nina ndugu yangu huwa akiingia chooni kuchukua muda wa nusu saa hadi lisaa limoja. si kwa haja ndogo, kubwa au kuoga, muda wowote akiingia huchua muda huo.

najua usafi kwa mwislam unaanzia chooni lakini kwa hali hii naona unapitiliza, nashindwa kumuuliza anafanya nini muda wote huo na labda kama kuna tatizo la kisaikolojia la kupenda tu kukaa chooni muda mrefu hivi. naomba ufafanuzi kwa wenye elimu juu ya hilo. majibu wa kihuni sitarajii kama vile pu....**%$#@...o sidhani kuwa ni sahihi
 
Pole sana,yeye ana ugonjwa wowote?wasi wasi wako ni wa nini?Ana jinsia gani?Na yuko nchi gani?Ukisema muda wowote akiingia humo anachukua zaidi ya saa moja,una maana akioga saa 1 asubuhi,akakojoa saa 5 mchana na haja kubwa saa 12 jioni atakaa masaa 3 au akiishatumia saa 1 asubuhi basi zingine anaingia kama kawaida?
BTHW.
Watu hupenda kusikia yanayojiri duniani.
Nilikaa nyumba moja na mzungu.Choo(washroom) chake kilikuwa kisafi kweli na kilikuwa na madude mengine mengi na magazines nzuri kweli kweli na vitu vingine ambavyo si stahili(kwa watu weusi-waTZ)kuwemo mle.
Lakini nilikuja kugundua nilipokuwa likizo -siendi kazini.
Looh akiamka saa 3 hujaamka,inabidi utafute washroom nyingine,maana anaweza kukaa humo masaa 3-4,lakini yeye ilikuwa ni asubuhi tu.baada ya hapo hamna shida tena.na alikuwa akisoma au kuandika mavitu mengine humo.Nilipomuuliza kwa nini,akasema anajisikia amani zaidi na utulivu akiwa pale.
Mungu atamjalia ndg yako.
 
nina ndugu yangu huwa akiingia chooni kuchukua muda wa nusu saa hadi lisaa limoja. si kwa haja ndogo, kubwa au kuoga, muda wowote akiingia huchua muda huo.

Jambo la kwanza si vyema kuogea chooni, chumba cha choo na bafu yapaswa vitenganishwe.

Pili, ni vyema ukamuuliza nduguyo pengine asiwe na tatizo lolote la kiafya kwa kuwa kwa namna ulivyotabanaisha yaonesha ni suala la mazoea zaidi.

Ingelikuwa umeandika kuwa anakawia zaidi kila aendapo haja kubwa, pengine tungelidhani ana matatizo kwenye mfumo wa utoaji taka mwili "constipation"

La kama angelikuwa anafanya hivyo pindi akienda kujiswafi mwili kwa kuoga, tungelidhani pengine anafanya "masturbation"
 
salams
nina ndugu yangu huwa akiingia chooni kuchukua muda wa nusu saa hadi lisaa limoja. si kwa haja ndogo, kubwa au kuoga, muda wowote akiingia huchua muda huo.

najua usafi kwa mwislam unaanzia chooni lakini kwa hali hii naona unapitiliza, nashindwa kumuuliza anafanya nini muda wote huo na labda kama kuna tatizo la kisaikolojia la kupenda tu kukaa chooni muda mrefu hivi. naomba ufafanuzi kwa wenye elimu juu ya hilo. majibu wa kihuni sitarajii kama vile pu....**%$#@...o sidhani kuwa ni sahihi

kama ni mwanaume, inawezakana huwa anamalizia kabisa pun.yeto. najua hutaki kuambiwa hivi lakini inaweza kuwa sababu mojawapo.
 
Mh... mi nahisi atakuwa anajimalizia hamu zake zingine through "kujichua" or punyeto!!!!
 
watu8,sijaelewa mkuu,una maana milango miwili tofauti au una maana gani? kuna ambavyo ukiingia huo mlango,choo na bafu vimengaliana lakini mlango wa kuingilia ni mmoja?dostum usiweke masharti,tuko binadamu wa kila aina,chuja unayotaka wewe ndio ufanyie kazi,sisi wote ni ndugu hao jamaa wengine wasikilize unyamaze@
Jambo la kwanza si vyema kuogea chooni, chumba cha choo na bafu yapaswa vitenganishwe.

Pili, ni vyema ukamuuliza nduguyo pengine asiwe na tatizo lolote la kiafya kwa kuwa kwa namna ulivyotabanaisha yaonesha ni suala la mazoea zaidi.

Ingelikuwa umeandika kuwa anakawia zaidi kila aendapo haja kubwa, pengine tungelidhani ana matatizo kwenye mfumo wa utoaji taka mwili "constipation"

La kama angelikuwa anafanya hivyo pindi akienda kujiswafi mwili kwa kuoga, tungelidhani pengine anafanya "masturbation"
 
salams
nina ndugu yangu huwa akiingia chooni kuchukua muda wa nusu saa hadi lisaa limoja. si kwa haja ndogo, kubwa au kuoga, muda wowote akiingia huchua muda huo.

najua usafi kwa mwislam unaanzia chooni lakini kwa hali hii naona unapitiliza, nashindwa kumuuliza anafanya nini muda wote huo na labda kama kuna tatizo la kisaikolojia la kupenda tu kukaa chooni muda mrefu hivi. naomba ufafanuzi kwa wenye elimu juu ya hilo. majibu wa kihuni sitarajii kama vile pu....**%$#@...o sidhani kuwa ni sahihi


Kwahiyo unadhani sisi tutakuwa na majibu ya akifanyacho nduguyo huko?
 
thanx to you all guys, natajaribu kujibu point zilizoorodhesha labda zaweza kunipatia ufumbuzi.
1. mi napata wasiwasi huenda ana matatizo ya kisaikolojia ndio maana nilitaka kujua kutoka kwa wenye fani.
2. huyo jamaa youpo hapa dar
3. huwa alfajiri saa 11 sijui kama ni kuoga na mengine anatumia lisaa 1, akitoka kuswahili saa 1.45 anaingia tena kama nusu saa au 1.15. ikifika saa 2.30 anazama tena hadi 3.30 ihi. na choo chenyewe ni shared. else itabidi tu nimuulize ingawa moyo wangu unasita asije akanifikiria vibaya kwani ni kaka yangu namheshimu sana na hasa mkewangu ananizuia nisimuulize
 
Maana yangu ni kuwa choo na kiwe na mlango wake vivyo hivyo na bafu...yaani viwe ni vyumba viwili tofauti.

inategemea your idea of a bathroom.
Siyo kila choo na bafu lazima iwe mtindo huo.
Kuna bathrooms nyingine zina process oriented facilities kibaooo.Utatenganishaje?
Vyoo na mabafu ya uswazi au very basic bathrooms kweli yafaa kutenganisha
 
inategemea your idea of a bathroom.
Siyo kila choo na bafu lazima iwe mtindo huo.
Kuna bathrooms nyingine zina process oriented facilities kibaooo.Utatenganishaje?
Vyoo na mabafu ya uswazi au very basic bathrooms kweli yafaa kutenganisha
i wandungu tusidanganyane ni pull tu atsluwa anafanya
 
Mkuu kwa mujibu wa mleta mada...moja kwa moja unapata picha anaongelea kitu ambacho kinatumiwa na jumuiya

Sasa kukisha kuwa na jumuiya, huduma hizi mbili yapaswa kutenganishwa na mimi ndio nimejikita hapo kujadili...

Hiyo combo unayoiongea wewe mara nyingi huwa kwa matumizi binafsi ndugu...

inategemea your idea of a bathroom.
Siyo kila choo na bafu lazima iwe mtindo huo.
Kuna bathrooms nyingine zina process oriented facilities kibaooo.Utatenganishaje?
Vyoo na mabafu ya uswazi au very basic bathrooms kweli yafaa kutenganisha
 
Inaonekana hujui starehe ya kweli na ya maan duniani kuliko zote , kukata gogo ndo raha kubwa kuliko zote na inahitaji utulivu , nafasi, hisia7 muda wa kutosha , weka imagery ya kile kipindi unapokuwa umetaitiwa na gogo kama unakuwa na amani , kila ukiona kichaka.....nakuomba tena chonde chonde sasa usimharibie mwenzio starehe hiyo adimu amabayo kila binadamu lazima aipate bila kujali cheo, utajili, elimu , umbo, utaifa. kwani jamaa kama una leta noma had kwenye kukata gogo sipati picha mtu akila kwako au kuomba maji ya kunywa inavyokuuuma ila tu unashindwa kumwambia tu kama ufanyavyo kwa nduguyo pindi anapoenda kushusha mnyororo asilia.
 
Mimi pia hupenda kukaa chooni zaidi ya dakika 15 karibu kila siku hasa nyakati za asubuhi nikitoka kitandani na jioni mara chache. Na huwa nakaa nikiwa katika choo cha chumbani kwangu tu, nikisafiri au nikienda ugenini SIWEZI KABISAAA. Tabia yangu ni kama ifuatavyo...nikiamka tu kitandani huwa siwezi kwenda kujimwagia maji moja kwa moja kwani nahisi kama nakuwa na mawenge ya usingizi pili ni kawaida yangu lazima nipate choo kubwa asubuhi kabla sijaenda kazini kwani sipendi kujisaidia haja kubwa kwenye public toilets...sasa nikiamka naenda kukaa chooni (choo cha kukaa) ili mwili uondokane na usingizi pia wakati huo tumbo linaachia chakula nilichokula jana yake usiku taratibu hadi napata choo (sina tabia ile ya kubanwa na hajakubwa hadi usikie kinakaribia kugonga chupi ndio ukimbie chooni NO NO NO)...wakati napokuwa nimekaa chooni huwa nakuwa na mawazo mengi tofauti tofauti ya kazini,maisha,biashara,afya,shamba,nyumba,dini,shule etc inategemea napitia pito gani au furaha gani wakati huo na mara nyingine nakumbuka hadi mambo ya utotoni kabisa (Nazama na kupotea ktk mawazo kabisaa kama vile naota fulani hivi nikistuka hapo navuta pumzi ndefu moja then nanyanyuka naoga nakuwa fresh kwenda job)...SASA hapo sijui kama nina tatizo la kisaikolojia au ni nini? Nilishawahi kujiuliza mwenyewe nakosa jibu..nashukuru Mungu situmii public toilets. SI KWELI KAMA KUNA KUPIGA PU**ETO kama baadhi yenu mnavyofikiria.
 
Mh! lisaa!?? aende tu Guiness world book of records...huenda ikawa amekalia uchumi!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom