Wee jifanye umetufunika, kumbe vile umewataja kiaina eeenh?
Ahaaa! Kumbe ww unayekemewa mapepo kila siku ndiye mwenye hekima. Ama kweli akili mbofu mbofu sana za mtu ambaye hajui, halafu hajui kama hajui! Pole sana!
Happy new year guys.lazima kuna watu wanakukera hapa JF na wanaokufurahisha hapa JF wataje bila aibuuuu. :exception: naomba usiwataje hawa marafiki zangu hawa na Mola awape UZIMA,usiwataje ..REJAO,MALARIA SUGU,RITZ,FAIZA fOXY wengine wamwage bila aibu.unajua kwa nini nawaombea mola awape uzima?
Wee ni mpuuzi na unafaa kupuuzwa. Endelea kuwa hujui na hujui kuwa hujui!Wewe hujatajwa mbona unajikomba? Huna umaarufu hata wa kuitwa taahira sasa mbona unajipeleka mbele?
Ona unavyotapatapa kutafuta umaarufu, mimi sio zaizi yako linapokuja suala la kufikiri. Akili mbovu ni hizi za kujipendekeza kwenye orodha ambayo haumo. Yaani uko radhi kuwa chizi ili mradi tu uwe chizi
jamani msimtaje Eliza wa Tegeta mtaniumiza roho!
asanteni sana kwa kuchangia thread ...ndio nazinduka maana ..mh
asanteni sana kwa kuchangia thread ...ndio nazinduka maana ..mh
vyote viwili