Wadau!
Nimeshuhudia watu kadhaa kukumbwa na dholuba la kufulia/ukata au kufukuzwa kazi punde tu wanapooa au kuolewa!
Wataalam na watu wazima njooni hapa tuelimishane siri iliyopo kwenye ufukara huu hutoka wapi? Je huwa wanakosea wapi?
Nimeona wadau wengi sana kukumbwa na kuyumba kiuchumi miezi kadhaa tu baada ya kuoana! Ingawa hali hii huwa haidumu zaidi ya miaka miwili kwa wavumilivu.
Nimeshuhudia watu kadhaa kukumbwa na dholuba la kufulia/ukata au kufukuzwa kazi punde tu wanapooa au kuolewa!
Wataalam na watu wazima njooni hapa tuelimishane siri iliyopo kwenye ufukara huu hutoka wapi? Je huwa wanakosea wapi?
Nimeona wadau wengi sana kukumbwa na kuyumba kiuchumi miezi kadhaa tu baada ya kuoana! Ingawa hali hii huwa haidumu zaidi ya miaka miwili kwa wavumilivu.