Wu-Ma
Senior Member
- Dec 1, 2017
- 113
- 277
Nimekuwa nikipata changamoto ya kuombwa hela na watu wa makamo mbalimbali kuanzia watoto, vijana na hata wazee, nikiwa mtaani hata barabarani natembea utastukia mtu anakuja kwa sura ya upole akikuelezea matatizo yake na anahtaj msaada wa pesa.
Hata watoto wa shule hunikimbilia wanionapo njiani na kuniomba hela ya nauli tsh 200 au pesa ya kalamu, hali hii ilikuwa imeniandama sana jijini Mwanza na hata nilipokuwa Dsm hali hii ilinitokea pia pale ubungo mara anatokea dada anakueleza matatizo yake na anaomba msaada wa fedha kdogo.
Ukitembea njiani unakutana na baba anakuketisha pembeni anakuelezea shida yake na anahtaji msaada nimetembea Iringa, Mbeya, Tanga, na Manyara hali hii imekuwa ikinitokea sana...naweza kuwa hata katikati ya kundi la watu utashangaa mtu usiyemfahamu ananikimbilia na kuniomba msaada wa pesa..mara nyingi nimekuwa nikitoa msaada huo.
Imefikia hatua nimeanza kuingiwa na waswas.....naomba wajuzi wa mambo haya wanisaidie hii inaashiria nini.
ahsante
Hata watoto wa shule hunikimbilia wanionapo njiani na kuniomba hela ya nauli tsh 200 au pesa ya kalamu, hali hii ilikuwa imeniandama sana jijini Mwanza na hata nilipokuwa Dsm hali hii ilinitokea pia pale ubungo mara anatokea dada anakueleza matatizo yake na anaomba msaada wa fedha kdogo.
Ukitembea njiani unakutana na baba anakuketisha pembeni anakuelezea shida yake na anahtaji msaada nimetembea Iringa, Mbeya, Tanga, na Manyara hali hii imekuwa ikinitokea sana...naweza kuwa hata katikati ya kundi la watu utashangaa mtu usiyemfahamu ananikimbilia na kuniomba msaada wa pesa..mara nyingi nimekuwa nikitoa msaada huo.
Imefikia hatua nimeanza kuingiwa na waswas.....naomba wajuzi wa mambo haya wanisaidie hii inaashiria nini.
ahsante