lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,147
- 33,302
Ndugu zangu,watu wanamtazama Lissu tu, lakini Kuna kijana anaitwa Salum Mwalimu. Huyu Salum anafanya maangamizi kwa CCM balaa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.
Anajua kuongea, ana hoja, anasikilizwa, anachambua.
Kwa kifupi CHADEMA wanaisambaratisha CCM kabisa.