adam kayombo
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 262
- 140
- Thread starter
- #21
Aminia mkuuHiyo ni moja ya mafunzo yangu
Aminia mkuuHiyo ni moja ya mafunzo yangu
Jamaa yangu juzi walimzingira mateja wawili kwenye uchochoro,alichowafanya hawatarudia tena,mshikaji ni Mwalimu wa karate,alikuwa anawapiga makofi tu ya usoniUsisemehivyo. mateja mbona wanateka japo wadhaifu wanguvu.
Ila sidhani kama hii ni kweliWatakua wameniletea bastola maana huwa naitafuta balaa