Best home tutor
Senior Member
- May 8, 2026
- 194
- 262
Salama!
Kuna taarifa niliiona kati ya Mei 1_5 mwaka huu watu wanaosadikika kuwa zaidi ya 300 Waliingia na coaster usiku na kuvamia eneo lililopo pwani na kuanza kubomoa nyumba za watu na kuwaamuru watoke na waondoe vitu vyao ili wabomoe.
Kuna mama mmoja anasema mpaka kanga yake aliyokua amevaa iliachika kwenye purukushani na wabomoaji ambao hawakufuata utaratibu na walivamia usiku na hawakutaka kumsikiliza yeyote.
Niliona taarifa kwamba Kuna uchunguzi unaendelea kujua chanzo cha tatizo lakini sijaona suluhisho naombeni sana serikali kufuatilia jambo hili ili wananchi wale waendelee kufurahia matunda ya nchi yao.
Viongozi wa mkoa wilaya na kata wenye dhamana ya serikali acheni uzembe fanyeni kazi tatueni migogoro ya wananchi kwenye maeneo yenu.
Kuna taarifa niliiona kati ya Mei 1_5 mwaka huu watu wanaosadikika kuwa zaidi ya 300 Waliingia na coaster usiku na kuvamia eneo lililopo pwani na kuanza kubomoa nyumba za watu na kuwaamuru watoke na waondoe vitu vyao ili wabomoe.
Kuna mama mmoja anasema mpaka kanga yake aliyokua amevaa iliachika kwenye purukushani na wabomoaji ambao hawakufuata utaratibu na walivamia usiku na hawakutaka kumsikiliza yeyote.
Niliona taarifa kwamba Kuna uchunguzi unaendelea kujua chanzo cha tatizo lakini sijaona suluhisho naombeni sana serikali kufuatilia jambo hili ili wananchi wale waendelee kufurahia matunda ya nchi yao.
Viongozi wa mkoa wilaya na kata wenye dhamana ya serikali acheni uzembe fanyeni kazi tatueni migogoro ya wananchi kwenye maeneo yenu.