i take no orders from no one.......
i take no orders from no one.......
Mimi Mke wangu anataka kuivunja hii desktop Computer yangu kila wakati analia na mimi huachi ku chat na marafiki zako huko J.f. kulikoni namwambia mke wangu nipo kazini ananicheka sana kila siku ugomvi nifundisheni dawa ya kuiacha J.F. nimekuwa teja la nguvu ehhhhhhhhhhhh
Kama ulikuwepo wewe Siku moja Shemeji yako kaninyima Unyumba eti kwa sababu nakesha na J.F. kasema hivi fanya starehe na hiyo Computer yako umekuwa Teja wa J.F. Wanakupa nini huko J.F. nikamuomba samahani sana akitaka siku unyumba huwa naizima kabisa Desktop Computer yangu. kasheshe kweli ukiwa Mteja wa Jamii forums. hutoki hata kwanini sijuwi hawa Jamii Forums wanatumia Dawa gani?Mhhhhh!! Hahahahahahah lol! Aisee umenichekesha sana Mkuu hahahahah....Technology inaleta kasheshe ndani ya nyumba....Mkuu ukiomba tendo unaweza kujibiwa, "Nenda huko huko JF ukatafute wa kukufurahisha."
kuna kale kamsemo 'kila boss ana boss wake'
siku hizi mchana sipo
nafanya 'fasting ya jf' lol
Umeamua kufanya au umelazimishwa kufanya?
i take no orders from no one.......
Karibu bibie unakaribishwa kwenye uroda. Angalia tu kanauna chungu jikoni usije ukakiunguza na kumsababisha Mume wako pamoja na watoto wako wakose kula Ugali....Mimi nimeshahama facebook nimehamia huku!
Kama ulikuwepo wewe Siku moja Shemeji yako kaninyima Unyumba eti kwa sababu nakesha na J.F. kasema hivi fanya starehe na hiyo Computer yako umekuwa Teja wa J.F. Wanakupa nini huko J.F. nikamuomba samahani sana akitaka siku unyumba huwa naizima kabisa Desktop Computer yangu. kasheshe kweli ukiwa Mteja wa Jamii forums. hutoki hata kwanini sijuwi hawa Jamii Forums wanatumia Dawa gani?
Fasting ama Kongosho anajua jinsi ya kukulimit?
My dear read between the lines....
BUT Kongosho!
very true lol
Karibu bibie unakaribishwa kwenye uroda. Angalia tu kanauna chungu jikoni usije ukakiunguza na kumsababisha Mume wako pamoja na watoto wako wakose kula Ugali....
Lol! Na wakati unaopanda mlima unawaza ntashuka saa ngapi manake ule uzi unakimbia ile mbaya!
Unajua JF ni some sort of nyumba ndogo!
Sjui unazungumzia watu wa karibu wapi! Lakini jibaba ni kosa la jinai waifu wako kugundua social network kama ya JF na nick yako na wewe pia bora usigundue tu. Mimi waifu siku akiniuliza kama naijua JF nitamjibu JF ni chama kipya Tanzania? yaani nitajifanya kama siielewi vile. Partner wako akiijua nick yako anaweza akakufanya toyz hapa akaja ni vi avatar vya uchokozi uchokozi na vinick vya halle berry mara mzee umenasa na gunia lako la mkaa.
Hapa nimetoa mfano tu, mimi ni katika waaminifu wachache walobaki kwenye ndoa tanzania.