Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Chadema nao ni wananchi pia, ni taasisi iliyojipa dhima ya kupigania katiba mpya, kwenye ilani zake, kwenye maazimio yake ambayo waliyatangaza public, kwa kauli za viongozi wake, etc.Hao wananchi wako pembeni wanasubiri tu CDM wakawasaidie kuidai katiba mpya! Wao wanataka katiba mpya lakini hawathubutu kuidai, bali wameona ni wajibu wa CDM. Basi CDM wamechoka, kwakuwa na wao wanaitaka na CDM hawajawazuia kuidai, basi wajitokeze waidai.
Hata wananchi wengine wasio na vyama nao wanapigania katiba mpya mfano Askofu Bagonza, Niwemugizi, wanaharakati mitandaoni , etc