dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,495
- 3,458
kuna ajali imetokea mtoni mtongani pale kwenye mto mzinga darajani. roli lilokuwa limebeba korosho limepinduka. ni ajali mbaya sana ambayo umetokea kwenye mkusanyiko wa watu. Majirani wa pale baadala ya kuokoa watu wenyewe walikuwa wanagombania viroba vya korosho zilizobanguliwa huku wengine wakitafuna. Chanzo cha ajali hakijajulikana. Inaskitisha sana.