Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,105
- 2,499
Dah kichwa kimechoka!
mhh picha imeongea mengi hii....ulimwengu huu huu kweli tusijisahau!hawa ndio wanaongoza kwa ubishi humu JF
Kutoka kushoto mstari wa mbele...Fidel80,Kaizer,Teamo,MJ1,FL1,Asprin,Wl,INVIZIBO,AD,DA ...n.Khawa ndio wanaongoza kwa ubishi humu JF
Kuna mtu ukimtaja tu unakula ban. Ngoja nijinyamazie
Kutoka kushoto mstari wa mbele...Fidel80,Kaizer,Teamo,MJ1,FL1,Asprin,Wl,INVIZIBO,AD,DA ...n.K
1. lizzy
2.Dena hapa sijui ni ubishi au kiherehere
Kutoka kushoto mstari wa mbele...Fidel80,Kaizer,Teamo,MJ1,FL1,Asprin,Wl,INVIZIBO,AD,DA ...n.K
Nimequote mara mbili kwa msisitizoKutoka kushoto mstari wa mbele...Fidel80,Kaizer,Teamo,MJ1,FL1,Asprin,Wl,INVIZIBO,AD,DA ...n.K
Nilijua tu lazima unitajeDena Amsi
1. lizzy
2.Dena hapa sijui ni ubishi au kiherehere
nakuulumia ndugu maana ban zimezid janvin.Malaria Sugu na wenzake
hahahaaaaaaaaaaaa ..umenunua ugomvi.. max hujamuonaaaa hapoo?hahaaaiKutoka kushoto mstari wa mbele...Fidel80,Kaizer,Teamo,MJ1,FL1,Asprin,Wl,INVIZIBO,AD,DA ...n.K
hawa ndio wanaongoza kwa ubishi humu JF
DA mimi naona wamekuoneatu dada yangu
Nilijua tu lazima unitaje
DA mimi naona wamekuoneatu dada yangu
hahaah.avator yako imeniacha hoi, kwa hiyo DA ndio mrefu kuliko wote hapo.kamanda acha kujipendekeza hajaonewa wala nini.
hahaah.avator yako imeniacha hoi, kwa hiyo DA ndio mrefu kuliko wote hapo.
DA mimi naona wamekuoneatu dada yangu
kamanda acha kujipendekeza hajaonewa wala nini.
Aisee!Kutoka kushoto mstari wa mbele...Fidel80,Kaizer,Teamo,MJ1,FL1,Asprin,Wl,INVIZIBO,AD,DA ...n.K
Aiseeee....
Heshima mbele arifu....huwezi kuniweka kundi moja ha hao wahuni.....1. Nyani Ngabu,
2. Yo Yo
3. Mohamed Shossi.
4. Faiza Foxy
Hahahah...chuki binafsi tu inawasumbua...mimi na ubishi ni kama ardhi na mbingu bro!Dada, nkiki...kweli watu wamekuamulia! Na wahenga walisema, "Lisemwalo lipo..."Unanifanya nianze kupitia posts zako moja baada ya nyingine...
hahahaaaInvisible & PAW ni wabishi sana! They are playing their own league