Huko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?