Watu wa Vodacom, Ttcl, Tigo, Airtel, Zantel, Halotel na Celtel, fuateni ugunduzi huu ili kutatua shida ya wenye ulemavu wa macho, wasiojua kusoma nk

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Kumekuwepo na shida kubwa kwa miaka sasa ya makundi niliyoyataja hapo juu wakati wa uingizwaji wa vocha na wengine wana uoni hafifu, na wengine kusahausahau, sasa nini kifanyike ...

Inabidi makampuni haya yaanzishe program itayohisi (sense) kwa kuweka ki magnetic kadogo ktk vocha na line ili pindi mteja akwanguapo vocha na kuielekezea ktk simu na vocha kuingia moja kwa moja kinachobaki ni mteja achague huduma anayotaka kampuni itayopenda kuifanyia kazi idea yangu basi inilipe na kuniajili,



Shukrani
 
Hiyo huduma mbona ipo kwenye App muda mrefu tu
Cyo kweli,wewe unasemea huduma mfano ya Tigo au voda rusha,Mimi nasemea mtu haoni au yupo kijijini na ni usiku wa manane anavocha sasa anakwangua na kuelekeza simu ilipo au kwenye kioo vocha inaingia bila kuweka namba moja moja,kama app IPO inaitwaje tuhakiki mda huu
 
Cyo kweli,wewe unasemea huduma mfano ya Tigo au voda rusha,Mimi nasemea mtu haoni au yupo kijijini na ni usiku wa manane anavocha sasa anakwangua na kuelekeza simu ilipo au kwenye kioo vocha inaingia bila kuweka namba moja moja,kama app IPO inaitwaje tuhakiki mda huu
Acha kukataa hiyo huduma ipo muda mrefu, katafute App inaitwa Voucher master au Voucher scanner au Airtime loadup. Sio unakaa na kubisha tu, au smartphone umeanza kumiliki mwaka huu??
 
Back
Top Bottom