Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Ninasikitika sn kusikia ccm imeshinda Igunga, naamini wengi walioipa kura ni watu wanaoish vijijini ambapo mpaka leo wanasema ccm iliwazaa na kuwalea, na wale walioelimika kidogo ktkn na umaskini walio nao wanadanganywa na vipea vya kanga na pilau, sio siri WANABOA NA WANAKERA SN MANA HATA UMUELIMISHE KWA MIFANO YA TATZO LA UMEME, DOWANS bado hawaelewi, HAWA RAIA NDO WANALETA UMASKINI TANZANIA