Watu wa Mza, Mara, Shy, Geita, Kagera na Simiyu mpo tayari?

LVB iko katika hatua nzuri tunaendelea kukusanya data, tunaomba kama kuna yeyote anayejua kata za wilaya zifuatazo, nyingi ni wilaya mpya.
Kata za wilaya ya

1. Chato na Mbongwe-Mkoa wa Geita.
2. Misenyi, Muleba na Kyerwa-Mkoa wa Kagera.
3. Busega, Itilima-Mkoa wa Simiyu.
4. Butiama-Mkoa wa Mara.

Unaweza kutuandia hapa au kwenda kwenye blog yenyewe www.lakevictoria.blog.com na kutafuta kurasa za kata zake na kuziandika humo.

Asanteni.
 
LVB iko katika hatua nzuri tunaendelea kukusanya data, tunaomba kama kuna yeyote anayejua kata za wilaya zifuatazo, nyingi ni wilaya mpya.
Kata za wilaya ya

1. Chato na Mbongwe-Mkoa wa Geita.
2. Misenyi, Muleba na Kyerwa-Mkoa wa Kagera.
3. Busega, Itilima-Mkoa wa Simiyu.
4. Butiama-Mkoa wa Mara.

Unaweza kutuandia hapa au kwenda kwenye blog yenyewe www.lakevictoria.blog.com na kutafuta kurasa za kata zake na kuziandika humo.

Asanteni.

Mim naifahamu mbogwe.
 
Msituone kimya tulikuwa tunahangaikia vitu vifuatavyo ambavyo sasa vimepatikana,

1. Tumenunua DOMAIN yetu,
2. Tumepata SERVER yetu, na mwisho hatimaye
3. Tumepata HOST ambayo itakuwa nje ya nchi, kwa wanaoelewa IT hivi vitu si haba, we are serious on that and we mean business.

Kwa nini tunachelewa kuzindua LVB, kwa vile tumepata hivyo vitu hatutakuwa Blog tena tunaanzisha FORUM, kwa wanaojua tofauti ya blogs na forums watanielewa nasema nini. Kwa hiyo tegemea kitu kikubwa na professional toka LVB.

LVB Admin.
 
LVB iko katika hatua nzuri tunaendelea kukusanya data, tunaomba kama kuna yeyote anayejua kata za wilaya zifuatazo, nyingi ni wilaya mpya.
Kata za wilaya ya

1. Chato na Mbongwe-Mkoa wa Geita.
2. Misenyi, Muleba na Kyerwa-Mkoa wa Kagera.
3. Busega, Itilima-Mkoa wa Simiyu.
4. Butiama-Mkoa wa Mara.

Unaweza kutuandia hapa au kwenda kwenye blog yenyewe www.lakevictoria.blog.com na kutafuta kurasa za kata zake na kuziandika humo.

Asanteni.

busega kata zake ni 13..nazo ni malili,kabita,badugu,mwamanyili,ramadi,kalemela,ngasamo,shigala,nyaluhande,mkula,lutubiga,igalukiro na maja nimeisahau
 
busega kata zake ni 13..nazo ni malili,kabita,badugu,mwamanyili,ramadi,kalemela,ngasamo,shigala,nyaluhande,mkula,lutubiga,igalukiro na maja nimeisahau
Asante metronidazole kama ukitembelea ukurasa wa wilaya ya Busega tumesha update kama ulivyochangia. Tunawashukuru nyote muendelee kutusaidia data za sehemu mbalimbali, lengo letu Forum itakayoanzishwa iwe imetokana na michango yenu.
 
Msituone kimya tulikuwa tunahangaikia vitu vifuatavyo ambavyo sasa vimepatikana,

1. Tumenunua DOMAIN yetu,
2. Tumepata SERVER yetu, na mwisho hatimaye
3. Tumepata HOST ambayo itakuwa nje ya nchi, kwa wanaoelewa IT hivi vitu si haba, we are serious on that and we mean business.

Kwa nini tunachelewa kuzindua LVB, kwa vile tumepata hivyo vitu hatutakuwa Blog tena tunaanzisha FORUM, kwa wanaojua tofauti ya blogs na forums watanielewa nasema nini. Kwa hiyo tegemea kitu kikubwa na professional toka LVB.

LVB Admin.

Hongereni sana kwa hatua mliyofikia, tunasubiri kwa hamu hiyo Forum.
 
Tunashukuru mnaojisajili na kutupa ushauri tunaomba muendelee kujisajili na kuchangia Safari Forums, kwa upande wetu tunaendelea kukusanya na kuiboresha Forums.
 
Back
Top Bottom