Atakua anazuru kaburi marakwamaraKaletwa karibu na Chato, si unajua ni mmoja wa vijana wa marehemu huyo?
Ingewezekana wangewaletea yule Sukuma ndani😅😅😅
Kuna uhaba wa furaha, dawa imekuja.Minaona sawa tu, maana mmesogezewa comedian...
😆😆😆Mmeletewa atakaye endeleza legacy za baba yenu
Huyu ni mtani wenu mtaenda nae sawa tuu.Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
Hahahaha huyu mkamlaze makaburini tu kwani Sima si yupo?Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu.
Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho.
Mbeya wanashukuru sana maana walishachoka naye.
😂 😂 😂Minaona sawa tu, maana mmesogezewa comedian...🤣🤣
Tutamlaza nje, ataomba kuhama mwenyewemjiandae kwa pombe mlevi sn huyo
Umeona eeh, akileta ujinga tutamlaza juu ya mti ataondokea huko huko mtiniMlazeni nje siku mbili ya tatu atarudi alikotoka bila kuaga - kazi hii kwenu mbona ni mdogo saana!!
Pole sana mkuu hii ndio ccm!Mkuu wangu vipi teuzi imekupita au upo namba ngapi nikupongeze,mie NIPO no 28.5
Wewe uko tofauti kabisa na bavichaChalamila ni kiongozi mzuri sana. Anapenda vichekesho vya hapa na pale lakini siyo katili, siyo dhalimu, siyo muonevu na ni mchapakazi sana. Mii namuona ni RC mzuri sana
Bora wangetuachia tu Chalamila wetu.Mjiandae ni fimbo tu bye Former RC Mbeya. Hivi Mbeya tumeletewa nani wakuu?
Ila mkuu hujajibu swali languPole sana mkuu hii ndio ccm!
Nilikuwa nawacheka sana mlivyokuwa mnademka jana
Kaletwa karibu na Chato, si unajua ni mmoja wa vijana wa marehemu huyo?
Walimpigia kura mwendazake, na alikuwa anawapendelea sanaMwanza mtalia na kusaga meno
Ameshasema atasovu tatizoHuyu mjinga anaondoka huko mbeya ameacha crisis kubwa sana kwenye sekta ya usafili wa uma. Leo nadhani ni wiki sasa magari ya kubeba abilia yako kwenye mgomo, sipati picha wakazi wa mbeya wanapitia tabu ya namna gani.
ni mtu anayeongea sana lakini hana maamuzi isipokuwa yale yaliyotoka juu yake.