Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,521
- 217,786
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.
Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .
Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .
Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?