Watu wa Mitandaoni walioambiwa wajitokeze kutoa taarifa za kuisaidia Serikali, wakishajitokeza waripoti kwa nani?

Nchi hii ni ngumu Sana

Wanamtandao hawajahi kushindwa kitu

2025 wanamtandao watamweka mtu wao na ikishindikana 2027 watufanyia vitu kama vilivyotokea kwa jiwe
 
Veronica franzi archiduke of chattle a.k.a
Nani vileeeeee?
Malagi mulaga ?
Nimeimisi ile id yake ya humu
Bwana musiba😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.

Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .

Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Yale makundi ya kugombea urais 2015 bado yaishi
 
Jina la Veronica France sio geni miongoni mwa watu hasa wanaotumia mtandao wa facebook
Amekua akishambulia wanasiasa hasa baada ya kifo cha Hayati John Joseph Pombe Magufuli.

Account imekuwa ikiwashambulia January Makamba ,Nape Nnauye,Ridhwan Kikwete,Mh Jakaya Kikwete,Mange Kimambi kuwa ndo wanaoendesha account ya Kigogo.

Hii hapa story yake aloweka mtandaoni ambayo huenda Mh.Rais Mama Samia Suluhu Hassan ameona aiongelee.

KIFO CHA MAGUFULI KILIPANGWA!!

Sindano za sumu alipigwa tano maana alipigwa moja akapoteza FAHAMU akapigwa nne mfululizo baada ya masaa 9 akazinduka akawa amechoka hadi kumleta mzena alikuwa taabani hata kuongea hawezi ,aliuliwa kinyama sana yani.

Na hizi sindano za sumu zilipitia Kenya kuingia Tanzania mwezi mmoja baada ya kuanza ziara kutoka Chato kwenda kagera kule sekondari ya ihungo, timu kigogo2014 walijua kila kitu,pia alipuliziwa hewa chafu akiwa Morogoro anazindua kiwanda cha Rostam Azizi pale.

Dkt Janabi ndiye aliyefanya kazi hii kitaalam,mkakati wa kifo chake ulikuwa initiated na team mtandao mzima kuanzia Jakaya Kikwete,Bernad Membe,Rostam Aziz,Mark Mwandosya,lakin vijana wao January Makamba,Ridhiwan Kikwete,Nape Nauye ndio waliokuwa wanavujisha siri hizi kwenda kwa team ya Maria Sarungi,Fatuma Karume,Zitto Kabwe,Tundu Lissu na rejea,hata kabla ya serikali kutangaza kifo cha Magufuli,watu hawa hawa walianza kuhoji nani anayeendesha nchi...

Criminal Investigation report.

Muuwaji:Dkt Hussein Janabi.

Organised criminal clue: Jakaya Kikwete,Bernad Membe,Rostam Aziz+wana mtandao.

Mnaweza kutufanya sasa sisi ni wapumbavu,lakin ipo siku isiyo na jina watakuja viongozi wenye akili na wataweka haya yote hadharani..Sisi watanzania machozi yetu hayataenda bure...

By Veronica France
Apuuzwe
 
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.

Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .

Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
Hapo anasubiriwa atokeze kichwa apokee lungu la kichwa hapohapo kwisha kazi🙊!
Mama si unataka uhuru wa habari, kwa wabongo huo ndio uhuru wanaoutaka!
Tuhuma wanazovurumisha ni nzito sana I see bila kujali ni kweli au lah!
Kuepuka sintofahamu, ww mummy lenga mlemle mlimopita na mwalimu wako ambaye pia ni bosi wako!
Usikae ofisini sana, tutembelee na ututatulie kero zetu! Wala usiwe Joan walker au Vascasie da gamie😜!
Tunakutegemea kama Iron lady wa wakati huu!
Mungu akubariki Mama Samia na serikali yetu yote na watz wote na nchi yetu yote!
 
Hapo anasubiriwa atokeze kichwa apokee lungu la kichwa hapohapo kwisha kazi🙊!
Mama si unataka uhuru wa habari, kwa wabongo huo ndio uhuru wanaoutaka!
Tuhuma wanazovurumisha ni nzito sana I see bila kujali ni kweli au lah!
😆😆😆😆
 
Mpak dakika hii kigogo anaongoza kwa possession 80 shots on target 20 uku Veronica musiba yupo Hoi kapigwa spana ya kichwa hajui cha kufanya Kumu attack mama kwa kigezo cha legacy ya mwendazake
 
Mama anadhani ana akili kuliko watu wa mtandaoni hahahahaha atasubiiri sana kuwapata watu wa mtandaoni. Wao hata CAG ambaye yupo kwa mujibu wa Katiba wanamuona ni adui yao sasa wanataka kumuua itakuwa hao wa mtandaoni!? Mama aachane na watu wa mtandaoni au ataishia KUDEMKA TU!
Katika hotuba yake kwa bunge Mh Rais pamoja na kuwalaumu watu wa mitandaoni kwa uzushi wao kuhusu chanzo cha kifo cha Rais wa zamani wa Tanzania Hayati Dr Magufuli, lakini ametoa nafasi kwa wote wanaotokea Mitandaoni kama wanao ushahidi wa taarifa zao hizo ili waisaidie serikali.

Hili kwangu ni jambo jipya lakini pia ni jambo zuri mno ambalo litawaamsha Whistle blowers waliojificha sasa kujitokeza kuisaidia nchi , lazima ijulikane kwamba , tukiachilia mbali hili la kifo cha Dr Magufuli , ukitaka kufichua mambo mengi machafu , hujuma , wizi na ubadhilifu kwenye nchi hii ni lazima hawa wanaoitwa watu wa mitandaoni watumike , hawa si watu wa mchezo na wana macho darubini inasubiri .

Sasa ngondo iko hapa , Je, watakaoamua kujitokeza kuisaidia nchi yao kama aliyoelekeza Mh Rais waripoti ofisi gani na wamuone nani , Je Usalama wao utalindwaje ?
 
Back
Top Bottom