Aisee hii kwel kabisa toka nizamie mjini Sasa Kila nikiwaza kwenda kuwasalimu nikiwaza hili swala naahirisha😂Habari za muda huu wana Jf.
Kuna katabia fulani wanacho baadhi ya watu waishio mikoani huwa inaudhi na kukera sana, mno yani. Tunafahamu, huko ndio chimbuko la uzao wa walio wengi umeanzia, tunaelewa umuhimu wenu, na tunapaswa kuwasaidia.