KIBIKIMUNU
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 330
- 254
Kaaa kwa kutulia mdogo wangu! SI kila unachosoma ndicho, Mimi ninaweza kuta Ni baba YAKO ! Niheshimu
Umri wako miaka 35.
Umezaliwa mwaka 1985
Ulimaliza chuo mwaka 1988
Kwa hiyo wewe hujasoma chekechea, shule ya msingi,wala hujasoma Sekondari
Mkuu kuwa makini hapa ni JF
utoto peleka huko kwa mkeo
Sent from my INE-LX2 using JamiiForums mobile app