GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,652
- 14,247
kutokana na kuwa watu wa dar wamekuwa wakijiona wao ndo wao kwenye kila kitu na kuona sisi wa mikoani ni washamba nimeona bora nasi tuanzishe Forum yetu tuwe tunapeana Maujuzi mbalimbali na habari za mikoani pia.
WATU WA DAR wanauliza inawezekana vipi wanaume wa MIkoani tunapiga bao moja baada ya saa moja na kisha tunaongeza mengine 10 mtu akitaka zaidi? tuwasaidie hawa ndugu zetu.
naomba tuweze kukutana hapa na kushauriana ... pia tusisahau kupeana likes maana watu wa town wanapeana likes wenyewe tu na sometime kutunyanyasa na kutunyanyapaa sisi wa Mikoani kwa majina ya kebehi n.k Tunahitaji kuchagua Uongozi wetu na pia kufahamiana vizuri. unyanyasi unaofanyika ni mkubwa sana watu wa dar wanachukulia kama wao ndo wamiliki na wenye hisa na jamiiforums. info wanazotoa zimekaa ki utengano kwa sisi wa sehemu nyingine. mtu anaandika tu jambazi akamatwa post. kuna posta ngapi tanzania? yeye anaamini akisema posta tu ni dar. huu ni unyanyapaa.
TUNAHITAJ WATU KUJAZA NAFASI HIZI
RAIS: gudume
Makamu wa Rais:
Katibu :
Mweka hazina:
Mawaziri
Waziri Mkuu:
Waziri wa Katiba na Sheria.
Waziri wa Propaganda (siasa).
Waziri wa Michezo na Burudani.
Waziri wa mahusiano,mapenzi na Jinsia.
Waziri wa Ucheshi na Utani.
Waziri wa Intellejensia.
Waziri wa Habari Mchanganyiko.
Waziri wa Biashara na Matangazo.
LUBEDE,MBIIRWA ,mahondaw ,screpa Fekifeki ,shedede Kalaydo ukhuty ,314 ,@miraji93, Jordi Pola ,CHE Raptino
kijani11
ONYO: MNAOJIITA WATU WA DAR ..DAR NI KWA WAZARAMO ....nyie wengine ni wakuja tu. sisi tunapenda kwetu na huku kwetu ndo tunapata wanaume ngangali kinoma. mkileta ubitozi tutagawana majengo. sisi kwetu haina kulemba. mguu wa shingo mguu wa roho. tusije onana wabaya humu ndani na ninyi watoto regerege
WATU WA DAR wanauliza inawezekana vipi wanaume wa MIkoani tunapiga bao moja baada ya saa moja na kisha tunaongeza mengine 10 mtu akitaka zaidi? tuwasaidie hawa ndugu zetu.
naomba tuweze kukutana hapa na kushauriana ... pia tusisahau kupeana likes maana watu wa town wanapeana likes wenyewe tu na sometime kutunyanyasa na kutunyanyapaa sisi wa Mikoani kwa majina ya kebehi n.k Tunahitaji kuchagua Uongozi wetu na pia kufahamiana vizuri. unyanyasi unaofanyika ni mkubwa sana watu wa dar wanachukulia kama wao ndo wamiliki na wenye hisa na jamiiforums. info wanazotoa zimekaa ki utengano kwa sisi wa sehemu nyingine. mtu anaandika tu jambazi akamatwa post. kuna posta ngapi tanzania? yeye anaamini akisema posta tu ni dar. huu ni unyanyapaa.
TUNAHITAJ WATU KUJAZA NAFASI HIZI
RAIS: gudume
Makamu wa Rais:
Katibu :
Mweka hazina:
Mawaziri
Waziri Mkuu:
Waziri wa Katiba na Sheria.
Waziri wa Propaganda (siasa).
Waziri wa Michezo na Burudani.
Waziri wa mahusiano,mapenzi na Jinsia.
Waziri wa Ucheshi na Utani.
Waziri wa Intellejensia.
Waziri wa Habari Mchanganyiko.
Waziri wa Biashara na Matangazo.
LUBEDE,MBIIRWA ,mahondaw ,screpa Fekifeki ,shedede Kalaydo ukhuty ,314 ,@miraji93, Jordi Pola ,CHE Raptino
kijani11
ONYO: MNAOJIITA WATU WA DAR ..DAR NI KWA WAZARAMO ....nyie wengine ni wakuja tu. sisi tunapenda kwetu na huku kwetu ndo tunapata wanaume ngangali kinoma. mkileta ubitozi tutagawana majengo. sisi kwetu haina kulemba. mguu wa shingo mguu wa roho. tusije onana wabaya humu ndani na ninyi watoto regerege