Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,180
- 41,999
Hivi hawa watu walikuwa wana bandika mabango muda gani na matangazo yao?
Wataalam wa matangazo na masoko mnawazungumziaje hawa jamaa waliofanikisha kutandaza vipeperushi dar nzima?
Hawa watu wanafananaje? ni kampuni iliyopewa tenda
Kila unayemuuliza kuhusu haya mabango na watu walio bandika lazima atakwambia ameamka asubuhi amelikuta bango..
Hawa jamaa wanabandika vipeperushi hadi shambani yani hata kama utaki kuyaona utayaona na itafika kipindi lazima uanze kujiuliza hawa watu ni wa aina gani... maana kama ni kazi wameifanya...... hakuna mwana Dar hajakutana na hayo mabango au vipeperushi.....
Watu wa amsoko na matangazo mnawaonaje wenzenu hawa? hivi kuna kitu kimewai kuwafikia watanzania wengi kuzidi hili tangazo la miujiza?
Wataalam wa matangazo na masoko mnawazungumziaje hawa jamaa waliofanikisha kutandaza vipeperushi dar nzima?
Hawa watu wanafananaje? ni kampuni iliyopewa tenda
Kila unayemuuliza kuhusu haya mabango na watu walio bandika lazima atakwambia ameamka asubuhi amelikuta bango..
Hawa jamaa wanabandika vipeperushi hadi shambani yani hata kama utaki kuyaona utayaona na itafika kipindi lazima uanze kujiuliza hawa watu ni wa aina gani... maana kama ni kazi wameifanya...... hakuna mwana Dar hajakutana na hayo mabango au vipeperushi.....
Watu wa amsoko na matangazo mnawaonaje wenzenu hawa? hivi kuna kitu kimewai kuwafikia watanzania wengi kuzidi hili tangazo la miujiza?